RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Wivu wa kimaendeleo, very nice.Baba Levo naye Alisema soon atazindua yake itazidi ya Mwijaku [emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wivu wa kimaendeleo, very nice.Baba Levo naye Alisema soon atazindua yake itazidi ya Mwijaku [emoji3][emoji3]
usidhani wote waliopo humu wako tayari kuwa wapumbavu,machawa na mashoga kama ulivyo wewe na huyo mwijaku wako kwa kisingizio cha ajira....Matusi ni kipimo cha kukosa ustaarabu.
Hoja nzima haina tusi hata moja. Lakini mchangia hoja umeleta matusi.
Tujitahidi Umaskini wetu na ukosefu wa fursa za ajira usitufanye tukose ustaarabu wa kutukana tukana hovyo.
usidhani wote waliopo humu wako tayari kuwa wapumbavu,machawa na mashoga kama ulivyo wewe na huyo mwijaku wako kwa kisingizio cha ajira....
ikiwa hizi ndo kazi zake, ni kipi cha ajabu kwake mpaka umtumie kama mfano wa watu wasio na aibu ili wapate,...mbona kazi yake ya uchawa hujaiorodhesha hapo?...Kufanya kazi na watu wengi ndio ushoga?
Kazi za mwijaku zipo wazi zinaonekana.
1. Anafanya kazi media Anatangaza clouds
2. Anafanya kazi media nyingine Star times anatangaza kipindi cha Mr right
3. Anafanya ya kuigiza. Anaigiza kwenye tamthilia ya DSTV kama main character
4. Anafanya kazi ya ubalozi wa kampuni ya Silent ocean
5. Anafanya kazi na serikali kama influencer wa awamu ya 6 ya Mama Samia.
6. Anapiga dili za wafanyabiashara wengine kibao. Anatangaza bidhaa za biashara za watu wengine wengi mfano Hamidu City, kampuni ya rangi na wengineo kibao
Mtu kama huyu anashindwaje kujenga nyumba ya milioni 400
Ni yake na mke wake ila mm nijuacho hyo gorof Kama angepiga bati za nabaki Africa au Ando Basi ingekuwa gorofa haswaSidhani kama ni yake...ngoja niweke akiba ya maneno
Kwani ambaye anatakiwa kumiliki hela ni nani bro kwa mtazamo wako tu tuelekeze ili tueleweUkifuatilia utakuta ni apartment za mtu za Bnb anafanya promo tu.
Acha kufatilia maisha ya watu mjini.Habari wadau,
Mwijaku chawa na influencer maarufu amejenga nyumba ya ghorofa kigamboni
Mwijaku anafanya kazi amazo wengi tunaona ni za aibu ila ana maisha mazuri ambayo wasomi wengi wa zama zake hawana hata nusu yake.
Mwijaku ni graduate wa university of Dar es salaam (Udsm) class of 2013 - yaani kamaliza chuo miaka kumi iliyopita
Ujumbe wangu wewe Graduates unaeona aibu kufaanya kazi yoyote itakula kwako wewe na kizazi chako
View attachment 2862148
Jiulize ni wangapi aliomaliza nao chuo ambao wanamzidi Mwijaku maisha ?
MWIJAKU SIO MVIVU ANAFANYA KAZI NYINGI SANA NDANI YA MUDA MMOJA. KOTE ANAPOKEA HELA
1. Anafanya kazi media Anatangaza clouds
2. Anafanya kazi media nyingine Star times anatangaza kipindi cha Mr right
3. Anafanya ya kuigiza. Anaigiza kwenye tamthilia ya DSTV kama main character
4. Anafanya kazi ya ubalozi wa kampuni ya Silent ocean
5. Anafanya kazi na serikali kama influencer wa awamu ya 6 ya Mama Samia.
6. Anapiga dili za wafanyabiashara wengine kibao. Anatangaza bidhaa za biashara za watu wengine wengi mfano Hamidu City, kampuni ya rangi na wengineo kibao
Mtu kama huyu anashindwaje kujenga nyumba ya milioni 400
Mjini utaona watu wana hela tu ila wanakozipata hutokaa ujue ukweliTetesi: Huyo pia ni dalali wa pisi za Instagram, anawapelekea pisi Madon 🤣🤣
Huenda huyu naye ni CHAWA wa Chawa mwijakuau wewe ndio yeye mbona kama unakazia sana😂😂😂😂😂😂😂😂
Hajui mjini wanaume wanapumuliwa a.k.a kuswalishwa?Ac
Acha kufatilia maisha ya watu mjini.
Kila mtu anajua anavyopata pesa.
Nenda kaigize na wewe uone.
Hatari sanaHajui mjini wanaume wanapumuliwa a.k.a kuswalishwa?
Mzee baba ulipotea tangu Machi 20/2023 nafurahi kukuona tenaWivu wa kimaendeleo, very nice.
Kwa deals hizo hashindwi. People are just judgemental.1. Anafanya kazi media Anatangaza clouds
2. Anafanya kazi media nyingine Star times anatangaza kipindi cha Mr right
3. Anafanya ya kuigiza. Anaigiza kwenye tamthilia ya DSTV kama main character
4. Anafanya kazi ya ubalozi wa kampuni ya Silent ocean
5. Anafanya kazi na serikali kama influencer wa awamu ya 6 ya Mama Samia.
6. Anapiga dili za wafanyabiashara wengine kibao. Anatangaza bidhaa za biashara za watu wengine wengi mfano Hamidu City, kampuni ya rangi na wengineo kibao
Mtu kama huyu anashindwaje kujenga nyumba ya milioni 400
Nimerudi mkuu, happy new yearMzee baba ulipotea tangu Machi 20/2023 nafurahi kukuona tena