DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Ni kazi gani anazozifanya?Ya kwake. Mwijaku anafanya kazi zaidi ya 5 ndani ya muda mmoja. Hawezi shindwa kujenga ghorofa
Hategemei mashahara wa clouds peke yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kazi gani anazozifanya?Ya kwake. Mwijaku anafanya kazi zaidi ya 5 ndani ya muda mmoja. Hawezi shindwa kujenga ghorofa
Hategemei mashahara wa clouds peke yake.
Kwahiyo na wewe uko tayari kupanuliwa na Waarabu upate ghorofa?
Kizazi hiki ni hasara tupu, mbele ya watu weñye akili timamu unamleta Mwijaku ndio awe role model? Kweli?
Iombe radhi JF na members wake hii ni dharau kupita kiasi.
Ukifuatilia utakuta ni apartment za mtu za Bnb anafanya promo tu.Chumvi muhimu kwenye mboga. Wajenzi wanaikadiria thamani yake ni milioni 300
Kama zipi yani mkuu ???Mimi ni shabiki wake mkubwa.
Napenda content zake
Katukosea sana, sanaa tena saaaana.Kwahiyo na wewe uko tayari kupanuliwa na Waarabu upate ghorofa?
Kizazi hiki ni hasara tupu, mbele ya watu weñye akili timamu unamleta Mwijaku ndio awe role model? Kweli?
Iombe radhi JF na members wake hii ni dharau kupita kiasi.
Weka documents zake tuoneYa kwake. Mwijaku anafanya kazi zaidi ya 5 ndani ya muda mmoja. Hawezi shindwa kujenga ghorofa
Hategemei mashahara wa clouds peke yake.
Wewe huna akili kichwani, na Yule Mke wako Kwa sababu siyo pisi Kali bahati yako, angekuwa pisi ya ukweli ungegongewa mpaka akili ikukae sawa.Matusi ni kipimo cha kukosa ustaarabu.
Hoja nzima haina tusi hata moja. Lakini mchangia hoja umeleta matusi.
Tujitahidi Umaskini wetu na ukosefu wa fursa za ajira usitufanye tukose ustaarabu wa kutukana tukana hovyo.
Hiyo inaeleweka mbona ila Na yeye kitu kama ni chakula ya watu hivi 🙄Tetesi: Huyo pia ni dalali wa pisi za Instagram, anawapelekea pisi Madon 🤣🤣
Ni kazi gani anazozifanya?
Kesho utatuambia Mwijaku amepaa kaenda zake mbinguni kwa kazi yake ya uchawa.Habari wadau,
Mwijaku chawa na influencer maarufu amejenga nyumba ya ghorofa kigamboni
Mwijaku anafanya kazi amazo wengi tunaona ni za aibu ila ana maisha mazuri ambayo wasomi wengi wa zama zake hawana hata nusu yake.
Mwijaku ni graduate wa university of Dar es salaam (Udsm) class of 2013 - yaani kamaliza chuo miaka kumi iliyopita
Ujumbe wangu wewe Graduates unaeona aibu kufaanya kazi yoyote itakula kwako wewe na kizazi chako
View attachment 2862148
Jiulize ni wangapi aliomaliza nao chuo ambao wanamzidi Mwijaku maisha ?
Hapo lazima akunje hela mkuu1. Anafanya kazi media Anatangaza clouds
2. Anafanya kazi media nyingine Star times anatangaza kipindi cha Mr right
3. Anafanya ya kuigiza. Anaigiza kwenye tamthilia ya DSTV kama main character
4. Anafanya kazi ya ubalozi wa kampuni ya Silent ocean
5. Anafanya kazi na serikali kama influencer wa awamu ya 6 ya Mama Samia.
6. Anapiga dili za wafanyabiashara wengine kibao. Anatangaza bidhaa za biashara za watu wengine wengi mfano Hamidu City na wengineo kibao
Mtu kama huyu anashindwaje kujenga nyumba ya milioni 400
Kijana embu wewe unae muona Mwijakimu aha akili tutpie japo picha ya chumbani unapolalaKwahiyo na wewe uko tayari kupanuliwa na Waarabu upate ghorofa?
Kizazi hiki ni hasara tupu, mbele ya watu weñye akili timamu unamleta Mwijaku ndio awe role model? Kweli?
Iombe radhi JF na members wake hii ni dharau kupita kiasi.
Mlioshindwa mna tabu,siyo ngada na freemason Tena!?Unataka na wao wauze taco?
Huyo hajawahi kumiliki akili,kila mtu anamtuhumu ushoga,jitu kubwa ila nilipumbavu.Kijana embu wewe unae muona Mwijakimu aha akili tutpie japo picha ya chumbani unapolala
Inasikitisha sana lijitu zima lisione mafanikio linawaza ushoga tu na usikute huyu ndio waleee ambapo kwao ni ruhusa sasa kuwa mashogaHuyo hajawahi kumiliki akili,kila mtu anamtuhumu ushoga,jitu kubwa ila nilipumbavu.