Mwijaku alirudia shule au alisilimu?

Kwanza sio wa ujiji ni wa huko kijijini kazuramimba.
 
Kwanza sio wa ujiji ni wa huko kijijini kazuramimba.
 
Kwanza sio wa ujiji ni wa huko kijijini kazuramimba.
 
Anacheza na akili za watu tu ni jirani yangu hapo Moro Wala familia yake sio ya Kazuramimba
Familia yake ni wapi? Ni mkristo au muislamu?
 
Yule shoga achana naye
 
Huyu jamaa sio wa ujiji ni wa pale Kazuramimba stesheni
Wakati nikiwa hapo 2008 kalikuwa katoto kweli kweli Leo kujichetua kushampa jina


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Hao jmaa watakuumiza kichwa mfano mkali wenu kafunga ndoa ya kiislamu ila inasemekana ni mkristo.

Yule nabii ya Arusha anadai ni babaake na anaenda kuombewa huko.
 
Mi nimesoma name UDSM ni mweupe mno kichwani,labda aliwekeza huko kwenye uchawa maana hata coursework tulimsaidia alikuwa haji discussion,ila nilichojifunza kwake ni kuwa ujasiri ni mhimu sana ktk maisha,cong.kwake Kwa kufanikiwa kupitia uchawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…