Mwijaku ana juzuu 30 ila maisha anayoishi hayaendani kabisa na elimu ya dini aliyonayo

Mwijaku ana juzuu 30 ila maisha anayoishi hayaendani kabisa na elimu ya dini aliyonayo

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Niseme tu ukweli huyu jamaa huwaga namshangaaga sana, licha ya kukaa sana madrasa na kufanikiwa kumaliza juzuu 30 ila maisha anayoishi hayaendani kabisa na elimu aliyonayo.

Hatukatai anajitafutia rizki ila kwa kweli ni too much haswa kwa mtu kama yeye. Kwa alipofikia sidhani kama atakuwa amehifadhi juzuu hata 1 kichwani kwake .

Aangalie mfano wa Lavalava licha ya kuimba muziki lakini muda mwingine anajirudi na kufanya mambo ya Allah.

Hata familia aliyonayo wanaishi maisha ambayo si ya kiislamu kabisa kana kwamba hakuwahi kuwa muislamu kabisa.

Mwijaku abadilike hata ndugu zake wa karibu huwa wanamsema yani tangu apate kijina kidogo amekengeuka na kuwa wa hovyo sana.

1689908183670.png

 
Niseme tu ukweli huyu jamaa huwaga namshangaaga sana ,licha ya kukaa sana madrasa na kufanikiwa kumaliza juzuu 30 ila maisha anayoishi hayaendani kabisa na elimu aliyonayo.

Hatukatai anajitafutia rizki ila kwa kweli ni too much haswa kwa mtu kama yeye.

Kwa alipofikia sidhani kama atakuwa amehifadhi juzuu hata 1 kichwani kwake .

Aangalie mfano wa Lavalava licha ya kuimba muziki lakini muda mwingine anajirudi na kufanya mambo ya Allah.

Hata familia aliyonayo wanaishi maisha ambayo si ya kiislamu kabisa kana kwamba hakuwahi kuwa muislamu kabisa.

Mwijaku abadilike hata ndugu zake wa karibu huwa wanamsema yani tangu apate kijina kidogo amekengeuka na kuwa wa hovyo sana.
Acha upuuzi,Bakheresa na dangote wana majuzuu mangapi vichwani?baadala ya kujaza PHD,Bachelor na Masters,unajaza maandishi ya kiarab!mwishowe ni kuwa mchawi tu,na mwanga
 
Niseme tu ukweli huyu jamaa huwaga namshangaaga sana ,licha ya kukaa sana madrasa na kufanikiwa kumaliza juzuu 30 ila maisha anayoishi hayaendani kabisa na elimu aliyonayo.

Hatukatai anajitafutia rizki ila kwa kweli ni too much haswa kwa mtu kama yeye.

Kwa alipofikia sidhani kama atakuwa amehifadhi juzuu hata 1 kichwani kwake .

Aangalie mfano wa Lavalava licha ya kuimba muziki lakini muda mwingine anajirudi na kufanya mambo ya Allah.

Hata familia aliyonayo wanaishi maisha ambayo si ya kiislamu kabisa kana kwamba hakuwahi kuwa muislamu kabisa.

Mwijaku abadilike hata ndugu zake wa karibu huwa wanamsema yani tangu apate kijina kidogo amekengeuka na kuwa wa hovyo sana.
Do you really expect a typical Pimp like him to behave as you ought and be Ethical like others?
 
Maisha aliyochagua kuishi yanaendana na elimu yake ya dini?

Hapo bado hatujazungumzia video yake chafu na Menina.

Bado hatujazungumzia anavyowashika shika hovyo wanawake bila kuona aibu kwamba ana mke
Hapo jambo la hovyo labda no. 2 pekee.
 
Ndugu mtanashati nadhani ungemwachia maisha yake mwenyewe kama hakuna sheria ya jamhuri anayovunja. Halafu kabla ya kumyooshea kidole Mwijaku je, wewe matendo yako ni mema? Umejichunguza. Please drink water and mind your business
 
Back
Top Bottom