Panzi Mbishi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2021
- 2,231
- 2,904
Jamiah ni level ganiYule mzee chiro alisoma hadi jami'ah kwa maana alkuwa na shahada kwenye masuala ya dini lakini akaishia kuigiza mchungaji sijui yuko wapi siku hizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamiah ni level ganiYule mzee chiro alisoma hadi jami'ah kwa maana alkuwa na shahada kwenye masuala ya dini lakini akaishia kuigiza mchungaji sijui yuko wapi siku hizi
Ni level ya degree kwa mfumo wa secularJamiah ni level gani
Duh, inasomwa kwa muda gani?Ni level ya degree kwa mfumo wa secular
Duh, inasomwa kwa muda gani?
Unataka akale wapi? Ujamuona mzee yusuph yalimshinda hayo maishaNiseme tu ukweli huyu jamaa huwaga namshangaaga sana, licha ya kukaa sana madrasa na kufanikiwa kumaliza juzuu 30 ila maisha anayoishi hayaendani kabisa na elimu aliyonayo.
Hatukatai anajitafutia rizki ila kwa kweli ni too much haswa kwa mtu kama yeye. Kwa alipofikia sidhani kama atakuwa amehifadhi juzuu hata 1 kichwani kwake .
Aangalie mfano wa Lavalava licha ya kuimba muziki lakini muda mwingine anajirudi na kufanya mambo ya Allah.
Hata familia aliyonayo wanaishi maisha ambayo si ya kiislamu kabisa kana kwamba hakuwahi kuwa muislamu kabisa.
Mwijaku abadilike hata ndugu zake wa karibu huwa wanamsema yani tangu apate kijina kidogo amekengeuka na kuwa wa hovyo sana.
Kila Jumamosi usiku, sikosi kuangalia kipindi cha MR RIGHT. Akikosekana, nakiona kipindi kimepwaya!Unataka akale wapi? Ujamuona mzee yusuph yalimshinda hayo maisha
Af mnataka akosekane kweli amended kwenye kaswidaKila Jumamosi usiku, sikosi kuangalia kipindi cha MR RIGHT. Akikosekana, nakiona kipindi kimepwaya!
Kafanya kosa gani, wewe enedelea na juzuu zako tuone kama zitakuletea ugali mezani.Niseme tu ukweli huyu jamaa huwaga namshangaaga sana, licha ya kukaa sana madrasa na kufanikiwa kumaliza juzuu 30 ila maisha anayoishi hayaendani kabisa na elimu aliyonayo.
Hatukatai anajitafutia rizki ila kwa kweli ni too much haswa kwa mtu kama yeye. Kwa alipofikia sidhani kama atakuwa amehifadhi juzuu hata 1 kichwani kwake .
Aangalie mfano wa Lavalava licha ya kuimba muziki lakini muda mwingine anajirudi na kufanya mambo ya Allah.
Hata familia aliyonayo wanaishi maisha ambayo si ya kiislamu kabisa kana kwamba hakuwahi kuwa muislamu kabisa.
Mwijaku abadilike hata ndugu zake wa karibu huwa wanamsema yani tangu apate kijina kidogo amekengeuka na kuwa wa hovyo sana.
30Chibu amehifadhi ngapi?
Huo ni uongo bhana uongooooWatu Wa Kigoma Mwanaume Anaweza Kuitwa Jina Maria, Shida, Amina, Halima
Muhimu Alipende Hilo Jina
DuhInasomwa kuanzia miaka 3 nje ya nchi yeye alisoma Saudi arabia, kwa tanzania sidhan kama kuna chuo kitanoa degree