Mwijaku ana juzuu 30 ila maisha anayoishi hayaendani kabisa na elimu ya dini aliyonayo

Mwijaku ana juzuu 30 ila maisha anayoishi hayaendani kabisa na elimu ya dini aliyonayo

Niseme tu ukweli huyu jamaa huwaga namshangaaga sana, licha ya kukaa sana madrasa na kufanikiwa kumaliza juzuu 30 ila maisha anayoishi hayaendani kabisa na elimu aliyonayo.

Hatukatai anajitafutia rizki ila kwa kweli ni too much haswa kwa mtu kama yeye. Kwa alipofikia sidhani kama atakuwa amehifadhi juzuu hata 1 kichwani kwake .

Aangalie mfano wa Lavalava licha ya kuimba muziki lakini muda mwingine anajirudi na kufanya mambo ya Allah.

Hata familia aliyonayo wanaishi maisha ambayo si ya kiislamu kabisa kana kwamba hakuwahi kuwa muislamu kabisa.

Mwijaku abadilike hata ndugu zake wa karibu huwa wanamsema yani tangu apate kijina kidogo amekengeuka na kuwa wa hovyo sana.

Unataka akale wapi? Ujamuona mzee yusuph yalimshinda hayo maisha
 
Niseme tu ukweli huyu jamaa huwaga namshangaaga sana, licha ya kukaa sana madrasa na kufanikiwa kumaliza juzuu 30 ila maisha anayoishi hayaendani kabisa na elimu aliyonayo.

Hatukatai anajitafutia rizki ila kwa kweli ni too much haswa kwa mtu kama yeye. Kwa alipofikia sidhani kama atakuwa amehifadhi juzuu hata 1 kichwani kwake .

Aangalie mfano wa Lavalava licha ya kuimba muziki lakini muda mwingine anajirudi na kufanya mambo ya Allah.

Hata familia aliyonayo wanaishi maisha ambayo si ya kiislamu kabisa kana kwamba hakuwahi kuwa muislamu kabisa.

Mwijaku abadilike hata ndugu zake wa karibu huwa wanamsema yani tangu apate kijina kidogo amekengeuka na kuwa wa hovyo sana.

Kafanya kosa gani, wewe enedelea na juzuu zako tuone kama zitakuletea ugali mezani.
 
Mwijaku ndo nani
Ana deal na Ishu gani hapa Nchi Tanzania
 
Mwanaume mwenzako anatafuta maisha piga kimya hajaua, hajaiba ,siyo choko Tena labda umemzidi dhambi ....he u piga kimya
 
Upo sahihi kaka,sema wengi hawata kuelewa kutokana na chuki za kiimani, umefikisha ujumbe akiona aufanyie kazi,Qur an ukiitumia ipasavyo itakupa kila kitu katika maisha ya dunia na akhera.

Wapi watu wengi wenye maisha na vyeo kupitia Qur an.
 
Upo sahihi kaka,sema wengi hawata kuelewa kutokana na chuki za kiimani....umefikisha ujumbe akiona aufanyie kazi,Qur an .....ukiitumia ipasavyo itakupa kila kitu katika maisha ya dunia na akhera.

Wapi watu wengi wenye maisha na vyeo kupitia Qur an
 
Back
Top Bottom