Cc The IcebreakerNdugu mtanashati nadhani ungemwachia maisha yake mwenyewe kama hakuna sheria ya jamhuri anayovunja. Halafu kabla ya kumyooshea kidole Mwijaku je, wewe matendo yako ni mema? Umejichunguza. Please drink water and mind your business
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cc The IcebreakerNdugu mtanashati nadhani ungemwachia maisha yake mwenyewe kama hakuna sheria ya jamhuri anayovunja. Halafu kabla ya kumyooshea kidole Mwijaku je, wewe matendo yako ni mema? Umejichunguza. Please drink water and mind your business
Sio UDSM???Mwijaku nakumbuka nilikutana nae Mzumbe university miaka ya 2009 anasoma degree ya human resource. Alikuwa mpuuzi hivyo hivyo alivyo leo. Tofauti yake alikuwa hajulikani tu nchi nzima
Mwijaku upuuzi hajaanza leo wala jana
Sio UDSM???
Je yule wa star tv wa mashati makubwa?Mwijaku ndio Muha wa kwanza kuonekana kwenye TV. Mpeni maua yake.
Kwa bara mbona kawaida kukutana na abduli au said afu wakatoliki au waruteli.Kumbe ni muslim maana anaitwa Burton.....