Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha yake yanakuhusu nini, angalia yako.Maisha aliyochagua kuishi yanaendana na elimu yake ya dini?
Hapo bado hatujazungumzia video yake chafu na Menina.
Bado hatujazungumzia anavyowashika shika hovyo wanawake bila kuona aibu kwamba ana mke
Kumbe ni muslim maana anaitwa Burton.....
Baba yake anaitwa mwalim Burton alifundisha Jabahila secAnatumia jina la mtu, alifanya paper kwa jina la mtu mwingine
ChaiMaisha aliyochagua kuishi yanaendana na elimu yake ya dini?
Hapo bado hatujazungumzia video yake chafu na Menina.
Bado hatujazungumzia anavyowashika shika hovyo wanawake bila kuona aibu kwamba ana mke
ChaiKwa malezi aliyolelewa na maisha anayoishi ni vitu viwili tofauti.
Amekengeuka mno, ndugu zake wanamlalamikia sana.
ChaiNiseme tu ukweli huyu jamaa huwaga namshangaaga sana ,licha ya kukaa sana madrasa na kufanikiwa kumaliza juzuu 30 ila maisha anayoishi hayaendani kabisa na elimu aliyonayo.
Hatukatai anajitafutia rizki ila kwa kweli ni too much haswa kwa mtu kama yeye.
Kwa alipofikia sidhani kama atakuwa amehifadhi juzuu hata 1 kichwani kwake .
Aangalie mfano wa Lavalava licha ya kuimba muziki lakini muda mwingine anajirudi na kufanya mambo ya Allah.
Hata familia aliyonayo wanaishi maisha ambayo si ya kiislamu kabisa kana kwamba hakuwahi kuwa muislamu kabisa.
Mwijaku abadilike hata ndugu zake wa karibu huwa wanamsema yani tangu apate kijina kidogo amekengeuka na kuwa wa hovyo sana.
Kama wa maketeWatu Wa Kigoma Mwanaume Anaweza Kuitwa Jina Maria, Shida, Amina, Halima
Muhimu Alipende Hilo Jina
Muislamu huyoKumbe ni muslim maana anaitwa Burton.....
OkayMuislamu huyo
😂😂😂Watu Wa Kigoma Mwanaume Anaweza Kuitwa Jina Maria, Shida, Amina, Halima
Muhimu Alipende Hilo Jina
Niseme tu ukweli huyu jamaa huwaga namshangaaga sana, licha ya kukaa sana madrasa na kufanikiwa kumaliza juzuu 30 ila maisha anayoishi hayaendani kabisa na elimu aliyonayo.
Hatukatai anajitafutia rizki ila kwa kweli ni too much haswa kwa mtu kama yeye. Kwa alipofikia sidhani kama atakuwa amehifadhi juzuu hata 1 kichwani kwake .
Aangalie mfano wa Lavalava licha ya kuimba muziki lakini muda mwingine anajirudi na kufanya mambo ya Allah.
Hata familia aliyonayo wanaishi maisha ambayo si ya kiislamu kabisa kana kwamba hakuwahi kuwa muislamu kabisa.
Mwijaku abadilike hata ndugu zake wa karibu huwa wanamsema yani tangu apate kijina kidogo amekengeuka na kuwa wa hovyo sana.