Wanadandia mali za watuVVijana hawajitambui hawatak kuoa then wanajiua
Analelewa maana yake siyo?
Kwa habari ya kulelewa sidhani maana na yeye anafanya kazi zake ingekuwa anakaa tu nyumbani hapo tungesema analelewaAnalelewa maana yake siyo?
mara ngapi? acha nikae kimya nisije leta tafrani hapaAtakuja gongewa na hato fanya lolote
Kambunga tu huyu
Ova
π π πKupitia Instagram Mwijaku atoa pole kwa Masanja na kutoa onyo vijana atakayepita na mke wake.View attachment 2376963