Ujinga mtupu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 887
- 2,010
TetesiWee hebu lete habari kamili, tusijee anzaa kupurusua docs afu baadae tukose Pa kuweka sura zetu. Japo itakua ni kweli tulicho kinena.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Habari.
Taarifa zisizo Rasmi inasemekana mtangazaji wa clouds na chawa promax wa wasanij mbalimbali nchini maarufu kama mwijaku.
Amesimamishwa kazi na menejimenti yake baada ya utovu wa nidhamu na ruhusa mbalimbali zisizo na sababu.
Chanzo cha Habari kilichomuhoji juma lokole ndiye aliyeeleza suala hili kwa kina zaidi.
Hata hivyo mwijaku hajaweza kusikika kwenye kipindi chake cha Leo tena kwa wiki sasa.
Tuendelee kumuombea ndugu yetu
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Nimeweka linkChanzo cha habari ni nani?? [emoji848][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Ukikutana na mtanzania Mjuaji na mwenye Grandiose kama wewe ...anakuwa na shida ya akiliUkikutana na Mtanzania anayepoteza muda wake muhimu Kumjadili Mwinjaku jua amesharukwa Akili.
Huyo mjinga gentamycine ana schizophreniaUkikutana na mtanzania Mjuaji na mwenye Grandiose kama wewe ...anakuwa na shida ya akili
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Tatizo uchawa wake ni wa kipumbavu,aliambia Nandy ana Ukimwi. Baba levo ni chawa anaejielewa,huwa havuki mipaka na kutukana watu.
Tatizo uchawa wake ni wa kipumbavu,aliambia Nandy ana Ukimwi. Baba levo ni chawa anaejielewa,huwa havuki mipaka na kutukana watu.
Mwijaku ni zero brain, huyo alivujisha video za uchi na za mzagamuo za Menina, kumbuka alikuwa mpenzi wake huyu.Hapo majuzi tulisema Baba levo anamshinda akili mwijaku, japo kielimu mwijaku kapita shule nayoona hakuelewa chochote, kumbe Baba levo anavomwita harmo kilandage anakwepa mkono wa sheria ndio akamshauri jamaa awe anamwita mond mwambino asijekustakiwa maana alikuaga anaropokwa jina la diamond kila siku, kuna chawa ukiona ana akili unajua kabisa mbona madili mengi baba levo anapata unajua ameimprove siku hizi havuki mipaka kabisa