Tetesi: Mwijaku kufukuzwa kazi Clouds media

Tetesi: Mwijaku kufukuzwa kazi Clouds media

Kwann boss? Ni kweli, siku ya mkutano wa cpa wanakuwa wengi na mabegi yameandikwa cpa na wanaonekana kama wapambanaji fulani hivi tofauti na professionals.

Sasa mm nawafahamu kwani mpaka niwachukie? Nadhani ajira ndo hakuna. Na nafikiri hii kitu ya kuwataka wasiwe na mihuri mpaka sijui wafanyaje inasababisha washindwe kujiajiri tofauti na wenzao wa sheria ukimaliza law school unapewa ukatafute riziki.
Ni kweli wengi hawana ajira wakati kuipata hiyo CPA nasikia ni kazi ya ziada!? Inawezekana vipi!?
 
Ni kweli wengi hawana ajira wakati kuipata hiyo CPA nasikia ni kazi ya ziada!? Inawezekana vipi!?
Inawezekana. Tanzania siasa hadi kwenye elimu. Umesahau ile kozi sijui ya gesi na nn. Baadhi ya wahitimu ushakutana nao? Sina status yao ina nahisi ilikuwa kozi ya kisiasa. Wajuzi watasema.
 
Back
Top Bottom