Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
Twitter Region!!......Wa mkoa gani mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Twitter Region!!......Wa mkoa gani mkuu?
Wote wale wale waropokaji TUTatizo uchawa wake ni wa kipumbavu, aliambia Nandy ana Ukimwi. Baba levo ni chawa anaejielewa, huwa havuki mipaka na kutukana watu.
Baadhi wapo Ila siyo kiarahisi rahis aisee jamaa wale Ni nyoko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulishawahi kuona mtu wa kigoma anafukuzwa kazi
Mwamba wa upinde upinde[emoji1787]Chanzo cha habari ni nani?? [emoji848][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hyo sagment huwa naipenda sna bwana Jose ameipatiaa snaaa na pale kwenye kutete sikozagi wamenikamta hazwaMwijaku anarindima kwenye Kipindi cha LEO TENA muda Huu kwenye zilizokiki. Watu wameumbuka uku jamani[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Tujifunze kuweka akiba ya maneno tusiongee tukamaliza [emoji23] Sasa Tulioshangilia Tutaweka wapi sura zetu[emoji23][emoji23]
Kuteta hiyo segment walibuni sna kiukwelHyo sagment huwa naipenda sna bwana Jose ameipatiaa snaaa na pale kwenye kutete sikozagi wamenikamta hazwa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Haha apo kwa kweli walipawezea Kipind kimechachuka kama kimetiwa ndimu, hakijawai kupoaHyo sagment huwa naipenda sna bwana Jose ameipatiaa snaaa na pale kwenye kutete sikozagi wamenikamta hazwa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kuteta on the beat [emoji97]Haha apo kwa kweli walipawezea Kipind kimechachuka kama kimetiwa ndimu, hakijawai kupoa
Ndo maana niliombaa habari kamilii, sikutaka aibu ya mwanzo wa mwaka mie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mban leo alikuepo katk kipindi Tena amekuja kwa kasi ya ajabu mno
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwa mujibu wa jamaa, mwijaku kaambukizwa u_cpa na mkewe. Yale yale ya kukaa karibu ya waridi.°kwa hiyo CPA T ya mke wake ni yake? Is CPA shared or transferable?
Ni kweli wengi hawana ajira wakati kuipata hiyo CPA nasikia ni kazi ya ziada!? Inawezekana vipi!?Kwann boss? Ni kweli, siku ya mkutano wa cpa wanakuwa wengi na mabegi yameandikwa cpa na wanaonekana kama wapambanaji fulani hivi tofauti na professionals.
Sasa mm nawafahamu kwani mpaka niwachukie? Nadhani ajira ndo hakuna. Na nafikiri hii kitu ya kuwataka wasiwe na mihuri mpaka sijui wafanyaje inasababisha washindwe kujiajiri tofauti na wenzao wa sheria ukimaliza law school unapewa ukatafute riziki.
Inawezekana. Tanzania siasa hadi kwenye elimu. Umesahau ile kozi sijui ya gesi na nn. Baadhi ya wahitimu ushakutana nao? Sina status yao ina nahisi ilikuwa kozi ya kisiasa. Wajuzi watasema.Ni kweli wengi hawana ajira wakati kuipata hiyo CPA nasikia ni kazi ya ziada!? Inawezekana vipi!?
Hyo zaidi ni nini?Wengi hamumfahamu Mwijaku vizuri!
Mwijaku wengi mmemjua baada ya kuingia clouds...!!
Mwijaku ni zaidi ya chawa na ni zaidi ya mwanahabari wa redio!
Labda wanasaidiana na huyo Juma MlokoleHyo zaidi ni nini?
DuuhLabda wanasaidiana na huyo Juma Mlokole