Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Alikuwa anaongea bila mipaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe kuna taaluma ni bora kuliko zingine°angekuwa na CPA (T) ingekuwaje au Angekuwa WAKILI ingekuwaje
Na nafkri hicho kimechangia sana. Ila sjui kwann wali mpeleka redion na yeye aka kubaliAlikuwa anaongea bila mipaka
Na kama alikuwepo pale muda mrefu. Why alikubali kwenda redion akijua kabisa hulka yake ya uropokaji na matusi ita mponza? Au ndo ilikua gia ya kumtoa paleNi part ya majukumu yaliyopo kwenye media.
Kama umewahi kuajiriwa formal employment na ukapewa job discription yako lazima umeona terms mojawapo kati ya hizi katika job dicriptions yako
- Perform all other duties assigned by supervisor or manager
-Perform appropriate duties as assigned by management
-Perform all other duties and tasks as assigned
-Other duties as assigned from time to time.
Hizo terms za ajira ndizo zinamfanya mwijaku umuone anatangaza.
Mwijaku clouds yupo miaka kibao. Ila kutangaza redio umeanza kumuona lini ?
Mwijaku sio journalist. Na hata kitambulisho chake cha kazi kimeandika kazi yake.
Sio kila anaefanya kazi hospital ni daktari ama nesi
Na kama alikuwepo pale muda mrefu. Why alikubali kwenda redion akijua kabisa hulka yake ya uropokaji na matusi ita mponza? Au ndo ilikua gia ya kumtoa pale
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwijaku anarindima kwenye Kipindi cha LEO TENA muda Huu kwenye zilizokiki. Watu wameumbuka uku jamani[emoji23][emoji23]
Habari.
Taarifa zisizo Rasmi inasemekana mtangazaji wa clouds na chawa promax wa wasanii mbalimbali nchini maarufu kama Mwijaku.
Amesimamishwa kazi na menejimenti yake baada ya utovu wa nidhamu na ruhusa mbalimbali zisizo na sababu.
Chanzo cha Habari kilichomuhoji Juma Lokole ndiye aliyeeleza suala hili kwa kina zaidi.
Hata hivyo Mwijaku hajaweza kusikika kwenye kipindi chake cha Leo tena kwa wiki sasa.
Tuendelee kumuombea ndugu yetu
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kwamba ni tiss au!?Wengi hamumfahamu Mwijaku vizuri!
Mwijaku wengi mmemjua baada ya kuingia clouds...!!
Mwijaku ni zaidi ya chawa na ni zaidi ya mwanahabari wa redio!
Angekuwa wakili angekuwa sio msng hivyo°angekuwa na CPA (T) ingekuwaje au Angekuwa WAKILI ingekuwaje
SawHulka yake itamponza vipi ?
Imemponza kwenye nini huku amezidi kujenga jina lake na kuzidi kupata madili
Kufanya majukumu ya mwajiri wako unakataaje ? Huku mkataba wa ajira umesaini mwenyewe hujalazimishwa.
Media ni kama ofisi zingine mfano benk tu. Mfanyakazi huyo huyo leo unapangwa uwe teller dirishani. Kesho unapangwa uwe kwenye desk la customer service huwezi kukataa eti mimi sitaki hiyo kazi.
U presenter wa media sio kazi ngumu kusema utashindwa kuifanya hata kama hujasomea hiyo.
Asilimia kubwa ya watangazaji wa media ni watu ambao hawajasomea huo utangazaji.
Why mwijaku ashindwe kutangaza hata kama yeye fani yake ni media artist
Imekuaje hukoDA KUHUSU MWIJAKU SIWEZI KUZUNGUMZIA KABISA.
Khe[emoji23]Mwijaku anarindima kwenye Kipindi cha LEO TENA muda Huu kwenye zilizokiki. Watu wameumbuka uku jamani[emoji23][emoji23]
Tujifunze kuweka akiba ya maneno tusiongee tukamaliza [emoji23] Sasa Tulioshangilia Tutaweka wapi sura zetu[emoji23][emoji23]Khe[emoji23]
Yn hd insta amekipost yupo studio anacheza hlf kaeka caption kuna watu wameumbukaMwijaku anarindima kwenye Kipindi cha LEO TENA muda Huu kwenye zilizokiki. Watu wameumbuka uku jamani[emoji23][emoji23]
Hahaaa [emoji23][emoji23]anajua kukera uyo mbwaYn hd insta amekipost yupo studio anacheza hlf kaeka caption kuna watu wameumbuka
Mban leo alikuepo katk kipindi Tena amekuja kwa kasi ya ajabu mnoWee hebu lete habari kamili, tusijee anzaa kupurusua docs afu baadae tukose Pa kuweka sura zetu. Japo itakua ni kweli tulicho kinena.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
yeye mwenyeweChanzo cha habari ni nani?? 🤔😁😁😁😁😁