Tetesi: Mwijaku kufukuzwa kazi Clouds media

Tetesi: Mwijaku kufukuzwa kazi Clouds media

Ni part ya majukumu yaliyopo kwenye media.


Kama umewahi kuajiriwa formal employment na ukapewa job discription yako lazima umeona terms mojawapo kati ya hizi katika job dicriptions yako

- Perform all other duties assigned by supervisor or manager

-Perform appropriate duties as assigned by management

-Perform all other duties and tasks as assigned

-Other duties as assigned from time to time.

Hizo terms za ajira ndizo zinamfanya mwijaku umuone anatangaza.

Mwijaku clouds yupo miaka kibao. Ila kutangaza redio umeanza kumuona lini ?

Mwijaku sio journalist. Na hata kitambulisho chake cha kazi kimeandika kazi yake.

Sio kila anaefanya kazi hospital ni daktari ama nesi
Na kama alikuwepo pale muda mrefu. Why alikubali kwenda redion akijua kabisa hulka yake ya uropokaji na matusi ita mponza? Au ndo ilikua gia ya kumtoa pale
 
Na kama alikuwepo pale muda mrefu. Why alikubali kwenda redion akijua kabisa hulka yake ya uropokaji na matusi ita mponza? Au ndo ilikua gia ya kumtoa pale

Hulka yake itamponza vipi ?

Imemponza kwenye nini huku amezidi kujenga jina lake na kuzidi kupata madili

Kufanya majukumu ya mwajiri wako unakataaje ? Huku mkataba wa ajira umesaini mwenyewe hujalazimishwa.

Media ni kama ofisi zingine mfano benk tu. Mfanyakazi huyo huyo leo unapangwa uwe teller dirishani. Kesho unapangwa uwe kwenye desk la customer service huwezi kukataa eti mimi sitaki hiyo kazi.

U presenter wa media sio kazi ngumu kusema utashindwa kuifanya hata kama hujasomea hiyo.

Asilimia kubwa ya watangazaji wa media ni watu ambao hawajasomea huo utangazaji.

Why mwijaku ashindwe kutangaza hata kama yeye fani yake ni media artist
 
Mwijaku anarindima kwenye Kipindi cha LEO TENA muda Huu kwenye zilizokiki. Watu wameumbuka uku jamani[emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Habari.

Taarifa zisizo Rasmi inasemekana mtangazaji wa clouds na chawa promax wa wasanii mbalimbali nchini maarufu kama Mwijaku.

Amesimamishwa kazi na menejimenti yake baada ya utovu wa nidhamu na ruhusa mbalimbali zisizo na sababu.

Chanzo cha Habari kilichomuhoji Juma Lokole ndiye aliyeeleza suala hili kwa kina zaidi.

Hata hivyo Mwijaku hajaweza kusikika kwenye kipindi chake cha Leo tena kwa wiki sasa.

Tuendelee kumuombea ndugu yetu

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app



Tunamuombea nini sasa?
 
Hulka yake itamponza vipi ?

Imemponza kwenye nini huku amezidi kujenga jina lake na kuzidi kupata madili

Kufanya majukumu ya mwajiri wako unakataaje ? Huku mkataba wa ajira umesaini mwenyewe hujalazimishwa.

Media ni kama ofisi zingine mfano benk tu. Mfanyakazi huyo huyo leo unapangwa uwe teller dirishani. Kesho unapangwa uwe kwenye desk la customer service huwezi kukataa eti mimi sitaki hiyo kazi.

U presenter wa media sio kazi ngumu kusema utashindwa kuifanya hata kama hujasomea hiyo.

Asilimia kubwa ya watangazaji wa media ni watu ambao hawajasomea huo utangazaji.

Why mwijaku ashindwe kutangaza hata kama yeye fani yake ni media artist
Saw
 
Wee hebu lete habari kamili, tusijee anzaa kupurusua docs afu baadae tukose Pa kuweka sura zetu. Japo itakua ni kweli tulicho kinena.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mban leo alikuepo katk kipindi Tena amekuja kwa kasi ya ajabu mno

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom