Ujinga mtupu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 887
- 2,010
- Thread starter
- #61
Kwa hiyo ukiwa wakili ushamaliza maisha au...°angekuwa na CPA (T) ingekuwaje au Angekuwa WAKILI ingekuwaje
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo ukiwa wakili ushamaliza maisha au...°angekuwa na CPA (T) ingekuwaje au Angekuwa WAKILI ingekuwaje
Huo ni mtazamo wakoHadhi ya UDSM kwa Tanzania iliishia mwaka 1995 tu na kuanzia hapo ni Chuo Kikuu cha Kawaida mno mpaka kimezidiwa na changu cha SAUT Mwanza, Iringa University, Mwenge ( Tumaini ) University na Mzumbe University.
Itamsaidia nini kama atakua mpumbavuHuyo jamaa pamoja na uchawa wake ila ni graduate wa Udsm, school of journalism 😀😀
Ukikutana na Mtanzania anayepoteza muda wake muhimu Kumjadili Mwinjaku jua amesharukwa na Akili.
Talent ya umbea. Pale wasafi watangazaji hawana Elimu ya utangazaji. Wenye Elimu kama Dida wana Diploma ya Journalism.Naomba kujuzwa hivi huyo sijui lokole Ana taaaluma gan inaliyomfanya akaajiriwa kwenye wasafi media kama sikosei,naomba kujuzwa.....
Media artist anafanyaje utangazaji sasa[emoji848]Mwijaku sio graduate wa school of journalism.
Mwijaku ni graduate wa udsm department of creative arts. Amesoma shahada ya sanaa ya maigizo.
Na hata clouds media group mwijaku hajaajiriwa kama journalist.
Mwijaku ameajiriwa kama media artist
Ah kabisa,Acha tuwe wapoleHatuwezi jua nyuma ya panzia
Jamaa anamatisi kama kukuAh kabisa,Acha tuwe wapole
Maana hii mvua ya matusi ni
Balaa
Ova
Kashapewa banned [emoji1]Jamaa anamatisi kama kuku
Kashapewa banned [emoji1]
Jamaa labda Ana maslahi na mwijaku
Ova
Babuuuuuh sio sanaa, kidg tyuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mjukuu unayaweza hasa[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaaa sanaaa hivyo Vyuo uchwaraa viizidi UDSM?? Hauko serious wee.Hadhi ya UDSM kwa Tanzania iliishia mwaka 1995 tu na kuanzia hapo ni Chuo Kikuu cha Kawaida mno mpaka kimezidiwa na changu cha SAUT Mwanza, Iringa University, Mwenge ( Tumaini ) University na Mzumbe University.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaaahTalent ya umbea. Pale wasafi watangazaji hawana Elimu ya utangazaji. Wenye Elimu kama Dida wana Diploma ya Journalism.
Media artist anafanyaje utangazaji sasa[emoji848]
Media artist anafanyaje utangazaji sasa[emoji848]
AhsanteNi part ya majukumu yaliyopo kwenye media.
Kama umewahi kuajiriwa formal employment na ukapewa job discription yako lazima umeona terms mojawapo kati ya hizi katika job dicriptions yako
- Perform all other duties assigned by supervisor or manager
-Perform appropriate duties as assigned by management
-Perform all other duties and tasks as assigned
-Other duties as assigned from time to time.
Hizo terms za ajira ndizo zinamfanya mwijaku umuone anatangaza.
Mwijaku clouds yupo miaka kibao. Ila kutangaza redio umeanza kumuona lini ?
Mwijaku sio journalist. Na hata kitambulisho chake cha kazi kimeandika kazi yake.
Sio kila anaefanya kazi hospital ni daktari ama nesi