GENTAMYCINE JF-Expert Member Joined Jul 13, 2013 Posts 60,660 Reaction score 121,325 Mar 5, 2025 #1 Yaani umealikwa katika Futuru kwa Aziz K kutokana na Njaa zako, umeshiba unaanza kumwambia Aziz K atufunge J'Mosi.
Yaani umealikwa katika Futuru kwa Aziz K kutokana na Njaa zako, umeshiba unaanza kumwambia Aziz K atufunge J'Mosi.
vibertz JF-Expert Member Joined Mar 15, 2022 Posts 2,474 Reaction score 4,726 Mar 5, 2025 #3 Mwijaku ni CEO wa macherwer
A akili mapito Member Joined Oct 18, 2024 Posts 6 Reaction score 5 Mar 5, 2025 #4 Mzee wa kalama vp tarehe 8 tunataka kujua maana kila mtu na kipaji chake🙏
Mallerina JF-Expert Member Joined Jan 19, 2023 Posts 1,236 Reaction score 2,060 Mar 5, 2025 #5 Ata Mimi ningemwambia awafunge
GENTAMYCINE JF-Expert Member Joined Jul 13, 2013 Posts 60,660 Reaction score 121,325 Mar 5, 2025 Thread starter #6 vibertz said: Mwijaku ni CEO wa macherwer Click to expand... Kama ni Rafiki yako mwambie kuwa kuna mawili ama Watu wa Simba SC tumpige na hatutanii au tumuweke nao Wote.
vibertz said: Mwijaku ni CEO wa macherwer Click to expand... Kama ni Rafiki yako mwambie kuwa kuna mawili ama Watu wa Simba SC tumpige na hatutanii au tumuweke nao Wote.
GENTAMYCINE JF-Expert Member Joined Jul 13, 2013 Posts 60,660 Reaction score 121,325 Mar 5, 2025 Thread starter #7 akili mapito said: Mzee wa kalama vp tarehe 8 tunataka kujua maana kila mtu na kipaji chake🙏 Click to expand... Ni kalama au Karama?
akili mapito said: Mzee wa kalama vp tarehe 8 tunataka kujua maana kila mtu na kipaji chake🙏 Click to expand... Ni kalama au Karama?
felakuti JF-Expert Member Joined Aug 16, 2024 Posts 659 Reaction score 1,207 Mar 5, 2025 #9 Kwa Kauli yake tu hio huwez kuamin pengine milioni kumi zishaingia kwenye akaunti yake.
Ubena Zomozi JF-Expert Member Joined Jun 19, 2022 Posts 1,608 Reaction score 1,286 Mar 5, 2025 #10 keshakula 10 milliion
vibertz JF-Expert Member Joined Mar 15, 2022 Posts 2,474 Reaction score 4,726 Mar 5, 2025 #11 Ubena Zomozi said: keshakula 10 milliion Click to expand... Labda kama alimaliza kwa kuzibuliwa mabao ila sio kwa kupewa zaidi ya robo ya mshahara wa Aziz Ki anaovujia jasho kupata mwezi mzima kisha atoe kirahisi tu kwa mtu kwa kupiga domo kwa dakika kadhaa.
Ubena Zomozi said: keshakula 10 milliion Click to expand... Labda kama alimaliza kwa kuzibuliwa mabao ila sio kwa kupewa zaidi ya robo ya mshahara wa Aziz Ki anaovujia jasho kupata mwezi mzima kisha atoe kirahisi tu kwa mtu kwa kupiga domo kwa dakika kadhaa.
A akili mapito Member Joined Oct 18, 2024 Posts 6 Reaction score 5 Mar 7, 2025 #12 GENTAMYCINE said: Ni kalama au Karama? Click to expand... Duuuu karama ila ujumbe ule umefika GENTAMYCINE said: Ni kalama au Karama? Click to expand...
GENTAMYCINE said: Ni kalama au Karama? Click to expand... Duuuu karama ila ujumbe ule umefika GENTAMYCINE said: Ni kalama au Karama? Click to expand...
The Legacy JF-Expert Member Joined Jun 1, 2022 Posts 5,879 Reaction score 11,318 Mar 7, 2025 #13 Mawazo yako yanafikirisha sana