Mwijaku na Baba Levo wakatazwe kuongelea habari za DP World na Bandari

Mwijaku na Baba Levo wakatazwe kuongelea habari za DP World na Bandari

Notorious thug

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2021
Posts
2,817
Reaction score
10,667
Napata hasira kali sana kuona hawa Makanjanja wakiongelea mambo nyeti ya nchi kwa ushabiki na mzaha. Hawa watu wamejaa ujinga na masihara inatia aibu kuona wanavyoongea na kujaribu kuelezea vipengele vya kisheria kuhusu mkataba huu ila hamna wanachojua aibuu tupu.
 
Napata hasira kali sana kuona hawa Makanjanja wakiongelea mambo nyeti ya nchi kwa ushabiki na mzaha. Hawa watu wamejaa ujinga na masihara inatia aibu kuona wanavyoongea na kujaribu kuelezea vipengele vya kisheria kuhusu mkataba huu ila hamna wanachojua aibuu tupu.
Kutafuta umaarufu.
Unaona sitivu alivyochuja ?
 
Hapa Afrika, Kipimo Cha competency ni umaarufu. Yaani hata Kama huna elimu, ukishakuwa maarufu utapewa airtime na Media zote na hata ukizungumzia Mambo nyeti yaliyo nje ya upeo wako utaaminika. Mnamkumbuka marehemu Masogange na jehova wa nyonyi?
 
Watu Kama Joseph Msukuma, Jumanne Kishimba, Masanja Mkandamizaji, Mbarikiwa Mwakipesile, Maulid Kitenge na genge lake wanajua nini kuhusu IGA?
 
Hatari zaidi kuliko wapuuzi na upuuzi wao wanaoongea na kuanza kukatazana mambo ya kuongea..., Tukifika hapo tutawakataza wote ambao hatukubaliani nao hata kama wanaongea ukweli...

I might disagree with what you are saying, but I will defend to the death for your right to say it...
 
Back
Top Bottom