Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
😂😁Hahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😁Hahaha
Alimpa ila kamwe akamkimbia mke coz dogo hasimamishi.Vipi sasa kashampeleka kwa Ali Kamwe au Kamwe amfuate mwenyewe?
Hawa wafuatao, wanatumwa kufanya JAMIICHECK ili waje na majibu kama bibie keshapelekwa au bado anaandaliwa,Mtangazaji Mwijaku alitoa ahadi kuwa Yanga Sc ikimfunga Simba basi atampa mke wake Ali Kamwe ambaye ni Msemaji wa Yanga
Vipi sasa kashampeleka kwa Ali Kamwe au Kamwe amfuate mwenyewe?
Ubaya Ubaya tu.
Soma Pia: FULL TIME: Yanga SC 1-0 Simba SC | Semi-Final | Community Shield | Benjamin Mkapa Stadium | 08/08/2024
Mhhh una kazi nzito...Hawa wafuatao, wanatumwa kufanya JAMIICHECK ili waje na majibu kama bibie keshapelekwa au bado anaandaliwa,
GENTAMYCINE, Kalpana, cocastic, Tsh, Lupweko
Dadaangu Bantu Lady wasimamie hawa waje na majibu
Kisasi ni haki. Hii Id ntaikumbuka wakati wa kucheka.Hawa wafuatao, wanatumwa kufanya JAMIICHECK ili waje na majibu kama bibie keshapelekwa au bado anaandaliwa,
GENTAMYCINE, Kalpana, cocastic, Tsh, Lupweko
Dadaangu Bantu Lady wasimamie hawa waje na majibu
InshaaaAlah....Kisasi ni haki. Hii Id ntaikumbuka wakati wa kucheka.
🙂InshaaaAlah....
sipo bongo kwani vipi?mzee we upo nchi gani kwan au hukua na bundle
ndo maana inaonekana uko ulipo ndo umeamka hyo habari imeshapta mkuu shwaaaaaahsipo bongo kwani vipi?
upo outdatedsipo bongo kwani vipi?