listen broo ten bora umekuja,,,ni hivi madaktari wamefikia asilimia 85% ya kujua how human brain operates but kuna sehemu ndgo san bado zinaumiza vichwa hasa kujua ni part ipi ya brain inayocomand automatic myocitic death[ cardiac death] yani kila kitu kipo under control within the body,,,human cell has billions of genes that control the cell functions including gene inayocommand automatic cell death...wakishaigundua hiyo kuwa ipo location ya ngapi kwenye DNA kwisha habari yako hakutakuwa na automatic cell death.....ikishagundulika ni gene ipi tayar watapandikiza kwenye brain censor firing signal ambazo zitaprocess cell death sequence before some few seconds na ndipo brain itaweka negation ya kuruhusu automaticity cell death kwa cancel out firing signals .....inawezekana kabsaa mkuuu