Mwili uliokufa kuweza kurudishiwa uhai ndani ya maabara kubwa

Mwili uliokufa kuweza kurudishiwa uhai ndani ya maabara kubwa

listen broo ten bora umekuja,,,ni hivi madaktari wamefikia asilimia 85% ya kujua how human brain operates but kuna sehemu ndgo san bado zinaumiza vichwa hasa kujua ni part ipi ya brain inayocomand automatic myocitic death[ cardiac death] yani kila kitu kipo under control within the body,,,human cell has billions of genes that control the cell functions including gene inayocommand automatic cell death...wakishaigundua hiyo kuwa ipo location ya ngapi kwenye DNA kwisha habari yako hakutakuwa na automatic cell death.....ikishagundulika ni gene ipi tayar watapandikiza kwenye brain censor firing signal ambazo zitaprocess cell death sequence before some few seconds na ndipo brain itaweka negation ya kuruhusu automaticity cell death kwa cancel out firing signals .....inawezekana kabsaa mkuuu
upo deep mkuu du yajayo yanatisha sasa hawa majamaa nimeamini watakuwa wameweza kufufua hiyo miili sema wanatuficha hapo nimekubali kiongozi
 
upo deep mkuu du yajayo yanatisha sasa hawa majamaa nimeamini watakuwa wameweza kufufua hiyo miili sema wanatuficha hapo nimekubali kiongozi
few people know the reality .....but the rest have to remain as they are in order to be controlled...open up your subconcious mind ujue yaliyonyuma ya pazia,,,but kwa mfano ujuio kwa chanjo ya HEPATITIS B virus ile chanjo inasemekana imepandikizwa baadhi ya vitu ...any way sitaki tufike huko watu wakanishambulia bure but understand that wasiojua ukweli ndo wanafuraha sana duniani ila wanaojua kila kitu they are scared about the reality
 
few people know the reality .....but the rest have remain as they are in order to be controlled...open up your subconcious mind ujue yaliyonyuma ya pazia,,,but kwa mfano ujuio kwa chanjo ya HEPATITIS B virus ile chanjo inasemekana imepandikizwa baadhi ya vitu ...any way sitaki tufike huko watu wakanishambulia bure but understand that wasiojua ukweli ndo wanafuraha sana duniani ila wanaojua kila kitu they are scared about the reality
unayosema kweli lakini pia wasiojua ukweli kuna sehemu wanapata shida mno mfano issue za kudanganywa na wachawi au waganga wa kienyeji na wao wanashindwa kujua kumbe mganga au mchawi anatumia actual physics

kuna uzi nimeupost lakini naona mod kaushikilia ila unaonesha issue wayofanya waganga mpaka unaona kama mimba yako inaribika au mganga Anapasua chupa kwa kuiangalia kwa macho na etc mtu asiyejua kuwa ni physics hiyo anaibiwa na kutapeliwa forever mimi naona ni vyema kujua vingi kuliko kutokujua kabisa
 
mi pia nasema hawatafanikiwa.sina ufafanuzi zaidi
Kama umeme tu ukikatika kwako unaenda dirishani kwako ili uchungulie kwa jirani ndo uamini kwamba umekatika... HILI UTAAMINI VIPI NA HUNA PA KUCHUNGULIA?

Hapa duniani kuna vitu vingi sana wengine tunaviamini kwamba vinawezekana kwa vile tu tunaviona vinafanya kazi.....
 
ikitiki utakuwa tayari mwili wako ufufuliwe je utakuwa na nafsi yako? niingizie hapo na hili swala la kiroho
ninachojua ni kwamba ,kuna system mbili zinazoprocess human body function..nazo ni conciou mind system na subconcious mind system,so inasemekana kuwa mtu unapokuwa usingizini au umekufa sytem moja huwa inacease ambayo ni concious mind sytsem ila subconcious mind inabaki active kucontrol basal rate ya mwili wako na ndo system inayohusishwa na mambo ya astral projetion mechanism,,inshort mtu ukifa subconcious mind huwa inahamia plane nyinine ya life[it is belived that when somebody dies the subconcious mind that harbours soul shifts to another plane of reality inabaki inahangaika but finally landers to its fiting plane depending the conciousness you had before death....somo hili ni gumu kidgo linahitaji discussion flani hivi,,but kwa kifupi tafiti zimeshafanyika za kushunt back subconcious mind ya mtu aliyefariki kwa kudetect life path ya huyo mtu
 
tujuze hii ndio sehemu yake sisi tutameza tu + hiyo astral projection nimeisoma huku imekaa kilozilozi
ha ha ha kwenye hili wapo wababe zaidi....but watu wanaoweza kufanya astral life issues serikali huwa inawacapture faster sana ,,,kwa mfano nchi zilizoendelea huwa zinanufaika sana na hawa watu, kwa mfano nchi za israel na marekani most usalama wa taifa kwenye ofisi flani huwa ni psychic persons in nature au wale wenye uwezo wa kuwa telepathic life..mara nyingi nchi hizo zinakuwaga na misako ya kuwatafuta mapema mashuleni huko hasa medium schools na middle schools, yani utaona ugeni wa madaktari wa saikolojia kila mwezi et wamekuja kutembelea watoto mashuleni kumbe wanaangalia wale watoto watakaokuwa na signs za telepathy badae wanatengenezea uhamisho kimya kimya na kuwapiga pesa ndefu wazazi wao kwa kisingizio et mtoto ana matatizo ya moyo hivyo jeshi linawahamisha sehemu nyingine,badae hamtamwona mtoto mpaka anakuja ashakuwa mkubwa na tayr washakuwa usalama wa taifa,,,so watu wanaojua mambo hayo wapo serikalini bwana[kwa nchi zilizoendeleaa lakini]
 
ha ha ha kwenye hili wapo wababe zaidi....but watu wanaoweza kufanya astral life issues serikali huwa inawacapture faster sana ,,,kwa mfano nchi zilizoendelea huwa zinanufaika sana na hawa watu, kwa mfano nchi za israel na marekani most usalama wa taifa kwenye ofisi flani huwa ni psychic persons in nature au wale wenye uwezo wa kuwa telepathic life..
ila hiyo astral projection kuna walozi humuhumu jf wanafanya na kuna uzi humu niliusoma nikahisi ndio kisukari na kifo kinataka kupita na mimi
 
Back
Top Bottom