Mwili wa Agnes Gerald 'Masogange' waagwa leo katika viwanja vya Leaders

Kifo ni somo tosha kwa sisi tulio baki tukiendelea kupumua, tutende mambo mema tuachane na mambo yasiyo mpendeza aliye tuumba,
 
Acha umbea,mwanamme hafai kuwa mmbea,hayo ni mavazi tu,!!muombea marehemu dua mungu amrehemu hilo ndio jambo la muhimu na msingi kwa hili tokeo
 
Masogange alikuwa wife material. Huu msiba ni wetu wanaume wote
 
Hizi nguvu walizowekeza hapa leo ,wangeyafanya hayo kipindi yupo hospitali, hakika leo tungekuwa naye..
 
Masogange alikuwa wife material. Huu msiba ni wetu wanaume wote
Mh hii presha, ndio maana marehemu alikuwa anatumika kwa matumizi sahihi pekee ya mwanaume.
 
Kwamba alijua what happen
 
Acha umbea,mwanamme hafai kuwa mmbea,hayo ni mavazi tu,!!muombea marehemu dua mungu amrehemu hilo ndio jambo la muhimu na msingi kwa hili tokeo
Vp shemela nini? Kameshindwa hata kujisitiri na khanga msibani kama kanavizia wanaume kauze mbunye check vikuku miguuni kalidhamiria haka
 
Kwamba alijua what happen
Yea it seems she knew what was killing her mybe the desase or whatever, but She knew she was dying!!! Maana yule mzee (baba ake) amesema alipompigia simu mara ya mwisho agness alipokea and she said to him "baba bye bye"
 
Kuna taarifa zisizo rasmi kuwa kidoti hajahudhuria kuaga mwili wa Agness,kuna aliyemuona?
 
Vp shemela nini? Kameshindwa hata kujisitiri na khanga msibani kama kanavizia wanaume kauze mbunye check vikuku miguuni kalidhamiria haka
Hayo ni mawazo yako mkuu,...hamna dini inayosema ukienda msibani lazima uvae mavazi ya aina fulani...
 
Kuna taarifa zisizo rasmi kuwa kidoti hajahudhuria kuagwa kwa mwili wa Agness,vipi kuna aliyemuona?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…