Mwili wa Agnes Gerald 'Masogange' waagwa leo katika viwanja vya Leaders

nyumbani kabisa huko dah!!
 
Sio Utengule Mbalizi?
 
Daah kilio kilisikika baada ya mwili wa marehumu AGNES MASOGANGE
kuwa sili [emoji26] [emoji26]
 
Bado hajakua mwacheni, au kumjadi JF kunamkuza?
 
Remembering her wonderful and gentle soul will forever remain in our hearts. May she rest in peace!
 
Ameenda msibani lakini bado umemfungulia uzi wa kumdiss asiingenda sjui ingekuaje jamani. .
 
kachoka mapema sana!
mabaka yamemjaa miguuni ata sio vizuri
 
Wauza sura hawajui Msiba jamn waacheni akikua nayy ataenda msiban vzr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…