Mwili wa Agnes Gerald 'Masogange' waagwa leo katika viwanja vya Leaders

Nimeona tuhuma kwenye uzi mmoja hivi.
 
Wakuu mlioko dsm na vitongoji vyake na hata wale walioudhuria msiba wa mrembo masogange nilikuwa naomba kufahamishwa kama msanii wa bongo fleva Belle 9 alihudhuria kwenye msiba wa masogange
Mkuu wewe umehudhuria??kwa swali hili nauhakika hujaudhuria na huenda sababu iliyokufanya usihudhurie ndo imemfanya pia na yeye asihudhurie
 
Mkuu inawezekana ni msafwa.Agnes Gerald Waya.

Haya majina ya Waya ni ya wasafwa.,tena utamkaji wake unalivuta Yani (Waaya).



Nimemwona Diamond akimpa mkono Kiba.Kweli matatizo huwapa watu akili.
basi wazaz wamechanganyikana kikabila yeye binafsi aliwahi kuhojiwa akasema yeye ni myakyusa pure
 
Keshenzi haka katoto yaan msibani akakosa hata khanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…