Mwili wa Agnes Gerald 'Masogange' waagwa leo katika viwanja vya Leaders

Mwili wa Agnes Gerald 'Masogange' waagwa leo katika viwanja vya Leaders

.
IMG_20180423_000045_391.jpg
 
Kuna mtu mwenye picha za madada wa Marehemu? Maana Mzee Waya ametamka ya kwamba ana mabinti watano.
 
Masogange kumbe kwao Utengule Mbeya, bila shaka Bujibuji amejumuika kwenda kwao kuzika!!
 
Utengule Usangu, unaingilia Igurusi, barabara ya Iringa - Mbeya, unafika kijiji cha Usangu then unaenda sasa kijiji cha Utengule, kwenye bonde la Usangu maarufu kwa kilimo cha Mpunga, ufugaji wa mbuzi na Ng'ombe, wakazi wake wengi wao wenyeji wa Mbeya, wasangu, wasafwa, wanyaki na wasukuma waliohamia na kuweka makazi yao katika hili bonde wakilima mpunga na mahindi na kufuga, nimepata kuishi kwa muda katika hili bonde.

Sikujua kama Masogange ni mzaliwa kutoka katika hiki kijiji.

Rest in Piece Agnes Masogange.
Pia kuna Utengule ya kupitia Mbalizi ,wenda Chunya,naona marehemu alikuwa Msafa na sio Mnyakyusa,Wanyakusa hawajianiki makalio
 
ataanzaje na yy ndo mnafiki mkubwa..alimtaja masogannge hadharan kuwa anatembea na bashite..na ana tumia drugs...
Yupo bize na lipstick ila ni kawaida sikumbuki lini nimemuona wema kwenye matukio ya hivi haendagi sio msiba sio sjui sherehe.... Ref events za idris kipindi kile.....
 
Back
Top Bottom