Mwili wa Daktari Dismas Chami aliyekuwa Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Ulyankulu waokotwa maeneo ya Malolo, Tabora

Wamebinu mbuni mpya ya kutuma sms kwa ndugu kabula ya kukurestisha into pieces
 
Hivi tumekumbwa na dude gani hili? Sasa hivi dunia nzima inajua sisi ni wa kutekana, kubaka na kulawiti na kuua. Zamani tulikuwa mfano kwa nchi za Afrika, na mtu hata ukisafiri kwenda nje ulikuwa proud kusema unatoka Tanzania, nchi ya kistaarabu. Nadhani kwa sasa ukienda nje (maana sijaenda muda), pengine utaulizwa, Eh! Tell me the situation in your country, I read on social media na hear on radio people disappear and are found dead the next day. Shame upon us! Tumeharibu sifa ya nchi yetu na sijui kwa sababu gani!
 
Hii dunia haijawahi kupowa

Ova
 
Nisamehe sana, baada ya dakika chache sitakua nanyi duniani. Simamia kila kitu nilichokiacha. Pesa zote zipo CRDB bank, simamia watoto wasome. Kwaheri"🥺🥺🥺🥺😭😭😭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…