Mwili wa Dkt. Mwele Malecela wawasili Tanzania ukitokea Uswisi

Familia wangekuwa wanapewa uhuru wa kuchangua. Nadhani kwenye hii familia apendwe zaidi nani na Mungu asingekuwa huyo mama ( Faida) wa kimataifa. Pole Mzee Malecela na wanafamilia wengine. Hivi Le Mutuz yupo nchini?
 
Mkuu wakati mwingine kumbe hata nauli Hana ya kuja bongo



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Huyu mtu kaacha Mzazi mzee ambaye angependa yeye ndio azikwe na mtoto wake. Hapo ongeza na ndugu zake wa damu. Kwanini unamuona Mange ni muhimu sana kwenye hili?! Naona hilo uliloshauri la kufuatilia watu hata wewe pia ni mdau, ila wewe unamfuatilia huyo Mange.
 
Mange ni mpumbavu fulani.
 
Huyo ni hasara ya taifa bora alivyo kufa ,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji95][emoji95][emoji95] RIH DOCTOR
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…