Mwili wa Dkt. Mwele Malecela wawasili Tanzania ukitokea Uswisi

Mwili wa Dkt. Mwele Malecela wawasili Tanzania ukitokea Uswisi

Mkuu punguza dharau, angekuwa na kama ya Hemed asingekuwa na maono ya kujenga bwawa la JNHPP wala asingeifikisha nchi hii uchumi wa kati wa chini.
Kabudi pamoja na kua na elimu kasaidia nini nchi?hilo bwana ni useless halina faida yeyote zaidi ya ufisadi
 
Ippy si marehemu kitambo
Ippy sio Lemutuz, Lemutuz ni anaitwa William, yeye ni mkubwa kwa Ippy ila ni wa mama mwingine, yani sio mtoto wa kwnye ndoa .Ippy ana kaka yake mkubwa ambaye ayo alifariki kwa ajali miaka ya 80 huko
 
Halafu alivyoishia kuwa chawa wa Bashite hapo ndo nilimwona bogus. Hivi sasa anaweza kumface Nape kweli ?

So kwa hilo Mzee malecela asilaumiwe mtoto mwenyewe alikua hajielewi hao Kina mwele na ndugu zake walitulia wakasoma wakaamua kujielewa sa kupata hizo nafasi ni nguvu zao binafsi pia zimetumika
 
Utakuwa na jambo lako na Lemutuz. Ila kwenye ukilaza hayupo kabisa. Usiwe too judgmental mpaka ukasahau small details. Au akili kwako Ni kuwa dr.

Mimi ningeweza kusema Ni mtu asiyependa kuambiwa ukweli ila BOGUS no. Ana akili sana na anajua kucheza na watz wa Sasa kuliko unavyofikiria.

Akili za kufanya nini? Miaka 30 marekani unarudi Tz unafikia kwa baba yako ukiwa na zaidi ya miaka 50
 
Lemutuz ni mtoto wa nje wa Malecela, hajawahi ishi kwnye hilo jumba wala kuwa part ya familia toka wakishi Oysterbay na Upanga hata huko Ubalozini , sidhani kama wako naye kikaka kivile, si umeona leo pale Lemutuz hakuwepo pale Familia ilipo simama mbele ya jeneza ,walikua wa toto tuu wa mama wa kina Seche,Ippy ,Mwendwa ana wale wengine . Pia Marehemu na Mange ni mu na mwanae mlezi, sio rahisi kwa marehemu kumtupa Mange sababu ana kashifu watu na ukimsikiliza mange amesema sana kwamba marehemu alikua an amshauri ila yeye akawa ana fanya hayo bila kibali cha Marehemu .

Ippy kafa inafika miaka 20 sasa acha uwongo lemutuz alikimbilia marekani huko kaishi zaidi ya miaka 30 karudi bongo alifikia kwa baba yake...
kaja kua mpambe wa watu wenye vyeo
 
Nauli anayo.hawezi kosa nauli sema anacho kiogopa anakijua mwenyewe
Sijui wewe ndiye Mange maana katika bandiko la awali ulijisahau ukasema "Nimeumia sana ......" . Hata hivyo wasiwasi wangu ni kutokuona matusi makali ya nguoni ambayo hata SHWEITANI anaogopa na kutetemeka akiyasikia.
 
Binti ya Lemutuz aitwae Noela katoka New York Amerika kuja kumzika shangazi yake. Le mutuz kashindwa kweli ?
Huyu Lemutu Naona familia haipendi matendo yake. MTU anakuwa na familia mke na watoto lakini inafanya uchafu hadharani na mabinti 'zake'. Hatukatai angefanya hata na mbwa lakini sio hadharani. Anadhalilisha mabintize. Mama Hana shida alishaachana nae lakini watoto wanaumia. Lemutu Kua Baba.
 
Ippy sio Lemutuz, Lemutuz ni anaitwa William, yeye ni mkubwa kwa Ippy ila ni wa mama mwingine, yani sio mtoto wa kwnye ndoa .Ippy ana kaka yake mkubwa ambaye ayo alifariki kwa ajali miaka ya 80 huko
Hujanielewa nilimjibu mtu kua ippy ni marehemu kitambo sana,najua wakiume kabaki baharia le mutuz
 
Back
Top Bottom