"Mwili" wa Ivan uliingia Uganda kwa jina la Ally, Interpol wataka kaburi lifukuliwe

Labda watoto hawakuwa na mapenz na baba yao, narudia tena labda
 
Hatareee akina mage bac poooovuuu
 
Reactions: SDG
fyygm
 
Funny how you can trust the redpepper... Gazeti la udaku hio
 
Reactions: SDG
niliwahi kusikia kuwa huyu jamaa alikuwa mpigaji kwa kupiga michongo kama wanayopiga akina ostaz juma na kusoma na kina chief kumbe.
 
Sasa waandishi wako Uganda na umeona hiyo ni website ya The Ugandan,issue ipo Uganda sisi tuna quote tu wewe unasema kila mtu anajifanya mwandishi..actually Henry Mulindwa ni Investigative journalist na anayo access na jeshi la police Uganda
Pamoja na yote siamini kama watoto wanaweza kuambiwa ukweli
 

Wameweka kama vile walikuwa wanamtafuta na hawakuweza kumpata, wakati alikua yupo free kuwa popote.

Huu ni uongo tu, hata hapo mwishoni mmmmmh

Kuna watu wana muda na wafu.

Waweke proof na ndege aliyosafiria waongee yao juu ya hili, watu wamezidi wivu na tamaa.
 
Reactions: SDG

Watoto wa kiafrica ukifiwa na mzazi lazima ulie hadi kamasi likutoke, hata kama ndo uzungu hao watoto sijawaona wakisikitika kabisa . Tena huko kwetu unyakyusani watoto ni ejoooooo kwenda mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…