Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haraka ya nini bob? hebu rekebisha title hiyo..Hatimaye Mahakama Kuu ya Uganda yatoa amri kaburi la Ivan Ssemwanga, yule mtalaka wa Zari, ambaye ni mke wa sasa Diakond Platinumz lifukuliwe, ili mamilioni ya pesa alizozikwa nazo zitolewe.
Mahakama imesema imechukua uamuzi huo ili kulinda heshima ya fedha ya nchi hiyo.
Mahakama imechukua uamuzi huo baada ya Mganda mmoja aitwaye Mgugu Abey, kuwashtaki Mahakamani kampuni iliyoraribu mazishi hayo ya A Plus Funeral Management na Benki Kuu ya Uganda,ambayo imeonekana ilizembea kwenye tukio hilo.
Hivyo, mahakama imeamuru kampuni ivunje kaburi kwa gharama zao,ili mlalamikaji achukue pesa hizo kwa niaba ya mataifa yenye fedha hizo, kwani zilikuwepo Rand za Afrika Kusini,Dola za Marekani pamoja na Shilingi za Uganda.
Kisha kampuni ya A Plus imeamriwa ilifukie kaburi hilo kwa gharama zake na kisha kumlipa ndugu Abey gharama zingine za usumbufu.Nakala ya huku inaletwa
Ama kweli mjini shule.View attachment 518243
Mtalaka wa Zari? Mke wa sasa wa Diamond? Mbona sielewi!...Hatimaye Mahakama Kuu ya Uganda yatoa amri kaburi la Ivan Ssemwanga, yule mtalaka wa Zari, ambaye ni mke wa sasa Diakond Platinumz lifukuliwe, ili mamilioni ya pesa alizozikwa nazo zitolewe.
Muandishi[emoji735]Mbona unapaniki. Kama wewe ni muandishi ambaye haijifanyi haikuhusu.
Kwani HAWAKUUAGA MWILI?Mimi kuna kitu kidogo kimenitia mashaka hizi story inaweza kuwa labda sababu unajuwa watoto hawajui uongo sijaona hata sehemu moja watoto hata wakitoa machozi tu na sio rahisi kufiwa na mzazi usilie mtu mzima tu utalia ila watoto picha zote wako very relax. sina uhakika ila nasema haya yanawezekana.
Anhaa halikufukuliwa sio?Kweli hamna hata mmoja mwenye huzuni wala jeneza kufunuliwa ngoja tuone