Fundisi Muhapa
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 4,422
- 2,112
Mkuu ulivyowaangalia wale undhani walikua timamu. Too much plastic life pale. Just kuonyesha Don kaenda. Uganda huwaga washambawashamba sana. Ndo maana Jack Pemba anawanyoosha ile ngumuNilimwambia mtu mmoja hapa hizo fedha ztafukuliwa kwa amri ya mahakama. Ninachoshindwa kufahamu ni km hawa waliofikia uamuzi wa kumzika Ivan na fedha hawakujua kama hili jambo halikubaliki? Just a such a simple mind hawakujua?