hii sasa ni dharau bora zifukuliweHawawezi kuzikuta na wakibahatika kutoa vi nusu karatasi vyao watoe vishilling vyao na sio dolla zetu.
Watu wametoa povu eti ni kufuru kwani waliziiba? Wacha ya mungu yaende kwa mungu na za kaisai yaende kwa kaisai.
Kwanu situ, geneza na kaburi si vinatengenezwa kwa pesa mbona hizo haziwaumi?
Je wangeziweka ndani ya geneza wakakuta mtu alisaoza wanazitoa?
Wawe makini wataambulia buleee tusubiri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna sehemu nilisikia jamaa katapeli zaidi ya $5m akawa anatafutwa ndio akaamua kufake kifo.
Indeed, yote haya anayajua! Duh! Jangili paseenimemuogopa zari aisee
Indeed, yote haya anayajua! Duh! Jangili pasee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa mnataka watoto walie wakati wameachiwa pesa kibao kulia kule huwa kama baba kakopa benk
Sio kweli,Sasa mnataka watoto walie wakati wameachiwa pesa kibao kulia kule huwa kama baba kakopa benk
Wewe nawe wa kuogopwa..... Unapenda pesa wewe! Unaona sass....nimemuogopa zari aisee
Uwongo! Wakenya ndiyo wanapenda kuamini vitu vilivyo andikwa in English! Waswahili sisi ni watu wa kujiamini na tuna hekima na busara!Kitu nilichojifunza katika msiba huu ni kuwa sikuwahi kuwaza kama Waganda wanatuzidi kwa UNAFIKI, UJINGA na UZUSHI uliokithiri[emoji15]!!sikuwahi kuwaza kama Waganda ni waongo kiasi hiki!?
Yaani msiba wa Ivan waganda wameufanya biashara kubwaa!!wanaandika uongo wote ili mradi tu magazeti yanunuliwe na blogs zao zisomwe!!so sad yaani!!
Hiyo picha ni photoshoot tu!ila walivyoikomalia utadhani ni habari za ukweli!!na wabongo sisi Uongo ukiandikwa kwa Kiingereza tu basi unakuwa ukweli asilimia 100%!!!Ukitaka kumdanganya Mtanzania basi mwandikie Habari kwa kiingereza na uweke na viasilimia hapo basi wee atakuamini kwa asilimia zooote
Uwongo! Wakenya ndiyo wanapenda kuamini vitu vilivyo andikwa in English! Waswahili sisi ni watu wa kujiamini na tuna hekima na busara!
zimemwagiwa shampaigne sijui zitakua salama......Nilimwambia mtu mmoja hapa hizo fedha ztafukuliwa kwa amri ya mahakama. Ninachoshindwa kufahamu ni km hawa waliofikia uamuzi wa kumzika Ivan na fedha hawakujua kama hili jambo halikubaliki? Just a such a simple mind hawakujua?
In fact picha nyingi zinaonyesha wakicheka. Hadi kuna video wanakemewa kuchekaMimi kuna kitu kidogo kimenitia mashaka hizi story inaweza kuwa labda sababu unajuwa watoto hawajui uongo sijaona hata sehemu moja watoto hata wakitoa machozi tu na sio rahisi kufiwa na mzazi usilie mtu mzima tu utalia ila watoto picha zote wako very relax. sina uhakika ila nasema haya yanawezekana.
We mtu. Tupicha basiNimekumbuka manyonyo ya zari