Dreamnaire
Senior Member
- May 7, 2022
- 102
- 75
😀😀Huo ni mwili wa awamu ya tano umegunduliwa awamu ya sita!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀Huo ni mwili wa awamu ya tano umegunduliwa awamu ya sita!
NakaziaHuo ni mwili wa awamu ya tano umegunduliwa awamu ya sita!
Na yule Askofu wa Angalikani Mwanza week iliyopita mwili wake uliokotwa kandokando ya ziwa akiwa tayari maiti! Ingekuwa utawala wa Magufuli wangesema sana! Ila kwa vile wanalamba asali kimya!Maskini jpm wetu weee ulisingiziwa kuua sasa huu mwilii inakuwaje? Ukute bado unasingiziwa na wabaua wako?
Rip unforgettable jpm
Chadema wajiandae kusingiziwaaliwahi kuja na kauli ya uchawa akisema "... katika utawala huu hutosikia Mtu ametekwa wala kuokotwa kwenye kiroba"
Mkuu hawawezi kulipa gharama au tuseme hawataki gharama ziongezekeKiufupi huwezi ukaua mtu usiache ushahidi,, sema hizi nchi zetu hazina watu professional wa ku comb through crime scenes
Daaah!!Huyu ni gaidi..hayo huwa yanauliwa kimya kimya.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumekuwa shwari kwa matukio ya namna hii yaliyokuwa yameshamiri katika awamu ya 5, Nadhania hilo litakuwa ni tukio la kijambazi / ugoni, ngoja tususubiri ripoti ya vyombo vyetu vya kiuchunguzi.Kuna Mtanzania mmoja aliwahi kuwa waziri wa mambo ya nje mara akapewa jina la kachero mbobezi by now yupo chali kisiasa, aliwahi kuja na kauli ya uchawa akisema "... katika utawala huu hutosikia Mtu ametekwa wala kuokotwa kwenye kiroba"
Huko Dodoma; mwili wa mtu uliokotwa ukiwa katika kiroba eneo la jirani na Shule ya Sekondari Jamhuri jijini Dodoma bado haujatambuliwa.
Mwili huo ambao ni wa mwanaume na umekutwa ukiwa umeanza kuharibika bado upo katika chumba cha kuhifadhia maiti ikatika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma.
View attachment 2439550
Ni ameuawa..Sio yule Mgoni alimfunga mwenye Mke Maisha.
Fuatilia utujuze ndugu, scenario yote.Niko ddm nafatilia hili jambo kwa kina sana
Nadhani hao ni Wajumbe wako wanagombania nafasi ya kula BURE.Fuatilia utujuze ndugu, scenario yote.
Nafasi zinazogombewa sio rahisi kusababisha maafa maana ni nyingi zenye Wajumbe wengi so kushinda is unforecasted.Nadhani hao ni Wajumbe wako wanagombania nafasi ya kula BURE.
Labda kauwauwa au katolewa mochiwari "kimkakati" na katiwa kwenye Kiroba ili Utawala wa Samia nao uonekane ni walewale.Nafasi zinazogombewa sio rahisi kusababisha maafa maana ni nyingi zenye Wajumbe wengi so kushinda is unforecasted.
Bado nipo nipo mkuu.Mshtuko umehama chama ?
Kuchafua taswira safi ya taifa letu.Labda kauwauwa au katolewa mochiwari kimkakati na katiwa kwenye Kiroba ili Utawala wa Samia nao uonekane ni walewale.
Nadhani utakuwa umenielewa.