Mwili wangu huwa unanuka mpaka sina raha ya kuishi

asante mkuu nimesema vaselline sababu me nikinyoa napaka na kuna kuwa kuzuri sana
 
Kunywa maji ya kutosha kuanzia lita tatu kwa siku. Ukishaoga jisuuze na apple cider vinegar na kabla haujavaa hakikisha umejifuta maji uwe mkavu kabisa.
 
Hiyo harufu inasabishwa na jasho wakati nacheza mpira shuleni tulikuwa na jamaa akishika mpira ukimfata anatishia kukupaka jasho lake na ukimaliza mazoezi utaoga hata siku tatu harufu yake unayo tu.Jaribu kumfata doct. wa ngozi anaweza kukusaidia
 
Pole sana mkuu.
Nina dawa ambayo utapona na gharama yake ni 50,000/ tu ambazo utazilipa baada ya kupona.
Njoo PM nikuelekeze dawa ambayo utaifanyia nyumbani kwako.
Kama huwezi kunitumia pesa baada ya kupona usiijaribu.
Nimeamua kuwekeza kwenye uchawi na uganga.
Siri ya ugonjwa huo ni kwambw hata kama ndo uwe umetoka bafuni kuoga ila baada ya dk chache lazima unuke na hata ukitumia marashi gani ila lazima unuke. Tena ukitumia marashi ndo utaharibu kabisa
Trust me utapona na utaleta ushuhuda hapa. Njoo pm
 
Pole sana......

Jaribu kutatua tatizo....

Zaidi zaidi jikubali mkuu ata usione soo mambo ya kawaida........!
 
Am sorry but nimeshindwa kujizuia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pole sana mkuu, kama upo mikoa ya Pwani, jaribisha kuoga baharini kwa dakika 15 mpaka 20, mara mbili kwa siku, asubuhi na jioni mfululizo kwa muda wa wiki moja.
 
Pole sana kinjana. Kila eneo la mwili lina bakteria ambao ni rafiki tunaishi nao. Kwapani, kinywani tumboni kwenye makalio na ht sehemu ulizotaja. Hawa bakteria wanapokuwa wengi wanapotoa uchafu wao ndio unaotoa hiyo harufu. Kutokana na mfumo wako wa maisha inaonesha eneo hilo bakteria wamekuwa wengi kuliko inavyotakikana. Ningekushauri uache kunywa pombe za kienyeji (samahani) halafu kila uogapo osha nyeti kwa limao usisugue! Halafu jipime km una URTI. Usiingiw gharama za vipodozi kabla ya kujua ttz. Maji unakunywa kiasi gani kwa siku?
 
Pole sana kama umeshajaribu hospital ikashindikana, mwone shekh sharifu majini yupo mabibo atakuombea utabaki na amani Poleee
 
Mkuu wewe ni mshirikina
 
Nenda hospitalii ,nahisi una tezi (gland) ambayo Ina kuletea tatizo hilo na dawa ni kuliondoa kwa upasuaji mdogo
 
Mkuu wewe ni mshirikina
Mkuu kama una hilo tatizo sema nukusaidie utapona ndani ya week Tatu. Namshangaa anayetafuta ushauri kaebda mazima. Ni dawa za uhakika. Mimi sio mshirikina mkuu. Ila ukijichanganya siyo mbaya pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…