Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa za msiba mwimbaji wa kundi la Zabron Singers, Marco Joseph afariki dunia
Chanzo? Hawa siyo waliozusha kifo cha Mwaitege?
Poleni sana kikundi cha Zablon Singers, familia, marafiki na wapenzi wa nyimbo za gospel.
Kikundi cha Zablon Singers ni kwaya pekee iliyoweza kuvuka views 50,000,000 kutazamwa wimbo wake wenye title ya "Tumeuona Mkono wa Bwana" katika account yake ya YouTube
View attachment 3076182
MKONO WA BWANA by Zabron Singers (SMS SKIZA 8561961 TO 811)
59M views
Kimataifa kwaya hii imeweza kuhudumu katika shughuli kubwa ikiwemo katika uapisho wa rais wa Jamhuri ya Kenya
View: https://m.youtube.com/watch?v=ByHAn9HIkfo
Magonjwa yasiombukiza ni hatari sana.
Profesa Mohamed Janabi huwa anatuasa sana kuhusu magonjwa haya, na umuhimu wa kujenga kawaida ya kupima afya zetu mara kwa mara hata kama tupo vijana.
RIP mwimbaji wa Zablon Singers
Rip mwimbaji..🙏Mwimbaji wa kundi la Zabron Singers, Marco Joseph amefariki dunia kwa ugonjwa wa Moyo jana usiku akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Shemeji wa marehemu, Tecla Lucas ameiambia Mwananchi leo Agosti 22, 2024 kuwa mwili wa marehemu bado upo kwenye chumba cha kuhifadhia maiti kwenye hospitali hiyo, wakisubiri ratiba za mazishi kupangwa.
"Amefariki kwa ugonjwa wa moyo akiwa Hospitali ya Muhimbili jana usiku msiba utakuwa Mikocheni kwa mama yake mdogo, mwili kwa sasa bado upo kwenye chumba cha kuhifadhia maiti,"amesema Tecla
Raha ya milele umpe ee Bwana ma mwanga wa miele umuangazie marehemu Marco apumzike kwa amani amina.Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa za msiba mwimbaji wa kundi la Zabron Singers, Marco Joseph afariki
Tushapoa kwahyo babu wewe ujaguswaKazi yake Mola haina makosa
Anaweza kumchukua yeyote bila kujali umri Wala jinsia.
Poleni wote mlioguswa na Msiba huu
Babu wewe hujaguswa🙄Kazi yake Mola haina makosa
Anaweza kumchukua yeyote bila kujali umri Wala jinsia.
Poleni wote mlioguswa na Msiba huu