TANZIA Mwimbaji maarufu kundi la Zabron Singers, Marco Joseph afariki dunia

Kama hujaimbiwa hii nyimbo harusiyako ujue una gundu
 
Rip mwimbaji..🙏
 
Mwili wake umekufa, ila roho pamoja na sauti yake, wimbo na ujumbe wake utaishi milele na milele! Kuna watu wamekufa ila kama hawajafa na wengine wakifa ndio wamekufa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…