Mwimbaji maarufu wa Muziki wa Pop nchini Kenya toka Sauti Sol ajitokeza kama Mpenzi wa Jinsia moja

Mwimbaji maarufu wa Muziki wa Pop nchini Kenya toka Sauti Sol ajitokeza kama Mpenzi wa Jinsia moja

Frumence M Kyauke

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2021
Posts
630
Reaction score
1,262
Mwanachama wa bendi ya afro-pop nchini Kenya Sauti Sol amejitokeza kama mpenzi wa jinsia moja.

Tamko la hadharani la Chimano lilikuja alipokuwa akielezea wazo la wimbo wake mpya, Friday Feeling, ambapo aliwashirikisha wanajamii wa LGBT.

"Hakuna kujificha tena," aliambia vyombo vya habari vya ndani.

Alisema kwa sasa anaishi ukweli wake na atatumia muziki wake kupinga taasubi za kiume zenye sumu, chuki na unafiki.

Chimano hajawahi kujitokeza hadharani kama mpenzi wa jinsia moja ingawa hapo awali aliwahi kuonekana na wapenzi wa kiume.

Tamko hilo la hadharani linaweza kuwa kupiga jeki juhudi za kupigania haki za watu wa jamii ya LGBT nchini Kenya, ambapo mapenzi ya jinsia moja yameharamishwa na yanaweza kuadhibiwa kwa hadi miaka 14 jela.

Reference: Sauti Sol singer Chimano hailed in Kenya for coming out as gay

174556794_3078566515801099_1910189269668525739_n.jpg
 
Kuna yule mpumbavu anajiita Lil Nas X mpka jukwaan anavaa sketi, yan anaona ufahari kabisa[emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
Bibi Kidude aliwahi kuimba Hogo la jang'ombee utaulamba mwikoo...
Alisema kwamba mhogo wa jang'ombe mtamu utaulamba mwiko sasa pengine wanachofanya kina nafasi katika maisha yao bado hatujapata majibu'
 
Ndo hata mimi nikawa najiuliza mbona uyu jamaa kuimba anaimba hovyo,,,,anapewa tu kuimba vipande vya mwisho,,si wangemtoa kundini kumbe mzee dada anatunzwa manake anawapaga wenzake makalio ko wanamlinda kama mpenzi wao tu,,hahahahaaa
 
Back
Top Bottom