Mwimbaji maarufu wa Muziki wa Pop nchini Kenya toka Sauti Sol ajitokeza kama Mpenzi wa Jinsia moja

Mwimbaji maarufu wa Muziki wa Pop nchini Kenya toka Sauti Sol ajitokeza kama Mpenzi wa Jinsia moja

Africa imeoza,na hata hii jf pia imeoza.
Siku hizi wanaume wengi wanavaa suruali lakini wanaume halisi ni wachache.

Kwanza jamaa lenyewe hili sijui linaimbaga nini. halafu limzungu ndo linammonyoa kmmmk..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanachama wa bendi ya afro-pop nchini Kenya Sauti Sol amejitokeza kama mpenzi wa jinsia moja.

Tamko la hadharani la Chimano lilikuja alipokuwa akielezea wazo la wimbo wake mpya, Friday Feeling, ambapo aliwashirikisha wanajamii wa LGBT.

"Hakuna kujificha tena," aliambia vyombo vya habari vya ndani.

Alisema kwa sasa anaishi ukweli wake na atatumia muziki wake kupinga taasubi za kiume zenye sumu, chuki na unafiki.

Chimano hajawahi kujitokeza hadharani kama mpenzi wa jinsia moja ingawa hapo awali aliwahi kuonekana na wapenzi wa kiume.

Tamko hilo la hadharani linaweza kuwa kupiga jeki juhudi za kupigania haki za watu wa jamii ya LGBT nchini Kenya, ambapo mapenzi ya jinsia moja yameharamishwa na yanaweza kuadhibiwa kwa hadi miaka 14 jela.

Reference: Sauti Sol singer Chimano hailed in Kenya for coming out as gay

View attachment 2038586
Yaani huwa Nina mashaka Sana na wanaume wanaovaa nguo za pink.

Sasa hii suti NI ya solo, nguva au mapande Saba?
 
Viongozi wa Afrika waendelea kushikilia msimamo wao wa kutokukubaliana na mapenzi ya jinsia moja[emoji24][emoji24] AFrica tunaenda wapi
 
Mwanachama wa bendi ya afro-pop nchini Kenya Sauti Sol amejitokeza kama mpenzi wa jinsia moja.

Tamko la hadharani la Chimano lilikuja alipokuwa akielezea wazo la wimbo wake mpya, Friday Feeling, ambapo aliwashirikisha wanajamii wa LGBT.

"Hakuna kujificha tena," aliambia vyombo vya habari vya ndani.

Alisema kwa sasa anaishi ukweli wake na atatumia muziki wake kupinga taasubi za kiume zenye sumu, chuki na unafiki.

Chimano hajawahi kujitokeza hadharani kama mpenzi wa jinsia moja ingawa hapo awali aliwahi kuonekana na wapenzi wa kiume.

Tamko hilo la hadharani linaweza kuwa kupiga jeki juhudi za kupigania haki za watu wa jamii ya LGBT nchini Kenya, ambapo mapenzi ya jinsia moja yameharamishwa na yanaweza kuadhibiwa kwa hadi miaka 14 jela.

Reference: Sauti Sol singer Chimano hailed in Kenya for coming out as gay

View attachment 2038928
Halafu akiwa anaimba anajiweka sauti nzito aiseeee.
 
Anayepiga na anayepigwa, kitaalamu wote wanaugonjwa wa akili, kunakuwa na 'fuse' imeachia kichwani. Ile ni sehemu ya kutolea taka mwili,na si sehemu ya kusugulia kifaa chako kiweze kumwaka. Ile gesi inayotoka kwenye huo mfumo 'alimentary canal' inamadhara makubwa kwa huyu chizi anayeingiza kifaa chake maeneo hayo. Ndio maana matatizo ya mrija wa mkojo 'mfumo wa mkojo' yanakuwa hayaishi. Mwenye akili atakuwa amenielewa, na asiye na akili aendelee na uchizi wake.
 
Yaani inakuaje Mwanaume unampenda mwanaume mwenzio asee, na unapata hisia za kusimamisha dyudyu mbele yake[emoji35][emoji35][emoji35]
Sio kwamba yeye anasimamisha kwa wanaume wenzetu,yeye ndo anafilwer hapo wamefichaficha tu ila wazee ndo wanampelekea moto
 
wanamshangaa maana baada ya kutia yeye anakwenda kutiwa Kama Dada zake.
Yeye akitiwa Dada zake wafanyaje?
Dada zake walitarajiwa wapambe watoto kwa Kaka yao.ila Kaka kaamua kuwa mwanamke wa mtu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee unachekesha sana, kwahiyo dada zake wakitiwa basi yeye asitiwe? Hao dada zake wao wenyew hawawez kuzaaa had chimao? Au kuzaa n lazima? Je chimaao angeweza asiwe gay na asizae hao dada zake wangefanya nn? [emoji23][emoji23][emoji23]

Kwahyo kumbe maamuzi binafsi ya mtu yapo chini ya dada zake? Ko nawee hapo dada zako ndo wanaamua hatima ya maisha yako? Poleeeeh sana. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee unachekesha sana, kwahiyo dada zake wakitiwa basi yeye asitiwe? Hao dada zake wao wenyew hawawez kuzaaa had chimao? Au kuzaa n lazima? Je chimaao angeweza asiwe gay na asizae hao dada zake wangefanya nn? [emoji23][emoji23][emoji23]

Kwahyo kumbe maamuzi binafsi ya mtu yapo chini ya dada zake? Ko nawee hapo dada zako ndo wanaamua hatima ya maisha yako? Poleeeeh sana. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wewe ni hasara kwa wazazi wako.
 
Back
Top Bottom