Bright eyes
JF-Expert Member
- Dec 7, 2021
- 228
- 303
Wewe nakujua Ni bingwa wa kusoma makablasha ya mabeberu . Nenda kajichimbie kuhusu hili . Utuletee majibu 😉Yaani inakuaje Mwanaume unampenda mwanaume mwenzio asee, na unapata hisia za kusimamisha dyudyu mbele yake😡😡😡
Ni hatua muhimu na bora sana kuishi ndani ya uhalisia wake.
Hongera sana chimao, piga kelele kwa chimao wake,weuweeeeeeeeeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiyo avatar yako sasa.
Hiiii lioneni hili ... Ila zile ARV zako za msaada Kutoka nchi za mashoga unakula 🤣🤣 . Watu wengine bwana unafiki tuuNimeacha kusikiliza nyimbo zake kuanzia sasa
Gwankaja vipi
Ila weweeNi hatua muhimu na bora sana kuishi ndani ya uhalisia wake.
Hongera sana chimao, piga kelele kwa chimao wake,weuweeeeeeeeeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona emoji za kulia ?Lijamaa nlikua nalihisi tu😭😭😭
Naupenda muziki wa Sauti Sol sanaaa.. ila pigo za jamaa nlikua sizielewi tangu walivonibamba kwa nyimbo zao..Mbona emoji za kulia ?
Hee Kuna mtu kakufa huko ?Ni msiba mkubwa sana kwenye tasnia ya muziki kenya .
Na wanaomtazama na kusikiliza nyimbo zake na matamasha yake vipi ni werevu au wapumbavu?Kuna yule mpumbavu anajiita Lil Nas X mpka jukwaan anavaa sketi, yan anaona ufahari kabisa[emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada zake wanajisikiaje?Ni hatua muhimu na bora sana kuishi ndani ya uhalisia wake.
Hongera sana chimao, piga kelele kwa chimao wake,weuweeeeeeeeeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]