Nalo hilo si kanisa la mtu binafsi Katunzi? Mimi naamini yale makanisa ya miaka na miaka ndio genuine, haya mapya ya kina mwingira na katunzi yamekuja na biashara huria.kaka eagt city centre sabasaba viwanjan hapa ndio sehemu ya kuabudu 7bu injili ya pale haijagoshiwa rev katunzi yuko juu
Badala ya ku concentrate na ibada upo Jf..au wewe ndo spy mwenyewe!!??Wonders shall never end!!
Wewe mwenyewe umeandika ukiwa nje au ndani?
Wewe mwenyewe umeandika ukiwa nje au ndani?
Mkuu suzie ule si ushenz tu ni upumbavu kawaambie waliokutuma na ujinga kwa mnadhimu mkuu wa serikali kudai anarudia kusahihsia ili watu wafaulu china wanachinja kuanzia wazir mpaka msahihishaji aeleze sababu za kufeli kwanza;;Binafsi sio tu kustaafishwa ni kuifukuza kabsa unajua sikuhzi kustaaf dili unarudi madarakan na mkataba;; Binafsi wahuni wanaoingia kanisani na kuacha lkuskkliza neno la Mungu kama wewe na wafukuzia mbali mkuu ;;ndio mnatumwa na magazet ya alhamis;kiwi;wasanii kuchafua kanisa pole nafurah ukondan ya moto ambao hata pinda anautambua na kuuheshimu
Haya anayasema saa hii wakati anatoa mahubiri yake hapa kanisani. Anadai ameonyeshwa serikali wamemtuma mtu aje hapa kanisani ku spy ndipo alipoanza wewe uliyetumwa ni mshenzi na mambo yako ni yakishenzi sababu waliokutuma ni washenzi. Haya ngoja nirudi kupata mahubiri nitarudi tena[/Q [h=1]Mtume na Nabii Josephat Mwingira asaidia maendeleo mkoa wa Rukwa[/h] 30/05/2009
21
[h=3]Rais Jakaya Kikwete akipokea mchango wa shilingi milioni 10 kutoka kwa kiongozi wa kanisa la Efatha nchini, Mtume na Nabii, Josephat Mwingira katika harambee ya kuchangia Mfuko wa Maendeleo wa Mkoa wa Rukwa iliyoongozwa na Rais kwenye hoteli ya Kilimanjaro- Kempinski jijini Dar May 27, 2009. Zaidi ya shilingi bilioni 1.4 zilichangwa,Katikati ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)[/h]UOTE]
Haya anayasema saa hii wakati anatoa mahubiri yake hapa kanisani. Anadai ameonyeshwa serikali wamemtuma mtu aje hapa kanisani ku spy ndipo alipoanza wewe uliyetumwa ni mshenzi na mambo yako ni yakishenzi sababu waliokutuma ni washenzi. Haya ngoja nirudi kupata mahubiri nitarudi tena[/QBaadhi ya waumini waliokuwepo ibadani. [TABLE="align: center"]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Askofu Gamanywa na familia yake wakiwa katika pozi na Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
UOTE]
Haya anayasema saa hii wakati anatoa mahubiri yake hapa kanisani. Anadai ameonyeshwa serikali wamemtuma mtu aje hapa kanisani ku spy ndipo alipoanza wewe uliyetumwa ni mshenzi na mambo yako ni yakishenzi sababu waliokutuma ni washenzi. Haya ngoja nirudi kupata mahubiri nitarudi tena
Ujue hata Mwingira naye ni Mshenzi, na mhudhuriaji naye ni mshenzi!Haya anayasema saa hii wakati anatoa mahubiri yake hapa kanisani. Anadai ameonyeshwa serikali wamemtuma mtu aje hapa kanisani ku spy ndipo alipoanza wewe uliyetumwa ni mshenzi na mambo yako ni yakishenzi sababu waliokutuma ni washenzi. Haya ngoja nirudi kupata mahubiri nitarudi tena
Kwa hili binafsi namuunga mkono, kwani serikali hii siku zote imekuwa ina kawaida ya kukurupuka ktk maamuzi mazito kwa majibu mepesi kisha kugundua makosa yao na kisha kuyasahihisha.mf.hili la kidato cha iv serikari baada ya kutambua ufaulu mbaya hapo kabla walipaswa kukaa chini na wadau wa elimu ili kutafuta njia sahihi ya utatuzi ikiwemo standardization ya alama za watahiniwa nk. Kuliko hivi sasa, wamesababisha hasara kwa wazazi, wanafunzi na serikali yenyewe!!! Nadilliki kuamini kuwa serikali hii inawatendaji wabaya kila idara.Muingira anaongeza kuwa serikali ya Tanzania iliyopo sasa inahitajika kustaafishwa kwa manufaa ya watanzania kutokana na mambo wanayoyafanya likiwemo hili waliloliamua juzi la kurudia kusahihisha upya mitihani ya kidato cha nne