Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umenibcc...........sikupaswa kuja huku lakini haya mambo ya wachungaji haya...............ngoja nifunge bakuli langu nisijeitwa mpumbafu bure!!!
Muingira anaongeza kuwa serikali ya Tanzania iliyopo sasa inahitajika kustaafishwa kwa manufaa ya watanzania kutokana na mambo wanayoyafanya likiwemo hili waliloliamua juzi la kurudia kusahihisha upya mitihani ya kidato cha nne
Mimi ni mkrsto na ninaamini Mwingira ni mtumishi wa Mungu lakini anahitaji kumwomba sana Mungu ili ampe busara na hekima za kuifanya kazi yake,Mungu hapiganiwi ndugu zangu,Mwingira hana haja ya kuhangaika na hao anaowaita washenzi bali anatakiwa kufanya kazi aliyopewa na Mungu na kumwachia yeye ashughulike nao
Ni wajibu wa watumishi wa Mungu kuikosoa serikali inapokiuka na kwenda kinyume,hata Yesu walipozidi akapindua meza zao
Ila huu utitili wa makanisa unatuchanganya,kila siku anaibuka mtumishi mpya na hoja zake mpya na hapa ndipo nakubali usemi wa mjomba kuwa "MILUZI MINGI HUMPOTEZA MBWA"...na KAKOBE kaishia wapi?nijulisheni wanajukwaa.
Alafu dada ndo nini kuchomeshana mahindi kwenye mvua!??
Hivi kweli upo kanisani kwa ibada....au upo mithili ya kivuli tu? Ninachoamini, uwapo kwenye ibada huwezi kushika simu au kufanya jambo min'ghairi ya ibada pekee.
Haya anayasema saa hii wakati anatoa mahubiri yake hapa kanisani. Anadai ameonyeshwa serikali wamemtuma mtu aje hapa kanisani ku spy ndipo alipoanza wewe uliyetumwa ni mshenzi na mambo yako ni yakishenzi sababu waliokutuma ni washenzi. Haya ngoja nirudi kupata mahubiri nitarudi tena
huyo bint mpeleke kwa mwingira utajua kuwa mwingira ni nabii wa miungu
Lakini kwa nn wasiige mfano wa yesu? Alidhihakiwa na watu walitumwa kum spy na kumkebehi lakini hakuwahi kuwaita washenzi.
Hii imekaaje na anapata wapi ujasiri wa kutukana viongozi wakati hata biblia inasema tiini mamlaka maana kila mamlaka imetoka kwa Mungu..! Yy ni nan na anawafundisha nn kondoo wake ktk hili...?
Ndo maana mm naenda zangu kwa Katunzi pure EAGT hakuna ushenzi kama huu ni injili tu
Mimi ni mkrsto na ninaamini Mwingira ni mtumishi wa Mungu lakini anahitaji kumwomba sana Mungu ili ampe busara na hekima za kuifanya kazi yake,Mungu hapiganiwi ndugu zangu,Mwingira hana haja ya kuhangaika na hao anaowaita washenzi bali anatakiwa kufanya kazi aliyopewa na Mungu na kumwachia yeye ashughulike nao