Mwingira wa EFATHA awaita Viongozi ya Serikali ni washenzi

 
 
 

Una hakika? humjui Yesu wewe!
 
Kwa hiyo wewe ni kama mwandishi wa habari? Soma maandishi mekundu hapo juu. Tunaambiwa ukiwa na neno na mtu uende ukazungumze naye. Hapa unatueleza mambo ambayo uliambiwa na watu.

Ni bora ukamshauri Mbuya atuandikie mwenyewe.

Wewe na wenzako wote hamna authority kuandika jambo la mtu mwingine. Nadhani mnataka kumchafua Mtumishi wa Mungu.
Be gone...
 
Vijana wa usalama wa taifa wamesambazwa kila makanisa kusikiliza mahubiri ya uchochezi...wanalinda serekalihii ya kiislam.
 
Ha! Ha!ha!....... umbea bwana... hata kilicho kupeleka huko haujui
 
 
Uzinzi wa Mfalme Daudi umeandikwa kwenye bible .Mwingira ni nani???
Huwezi kuzuia watu kuanika ukweli!!
Mwingira ameitwa na Askofu Gamanywa baada ya kufanya zinaa na Mwanafunzi aliye enda hapo akakataa !!!
Mwingira ana kiburi!!!
Ana endekeza ngono!!!
 
 
 
hayo ndo yaitwa mahubiri-mipasho kama ndo umetumwa mbona unasutwa
 
Ngoja niwaambie hata siku moja hamna haki ya kisheria yakuhukumu watumishi wa bwana. naona wote nyie kama munajiita wa kristo basi mwajiita hv ila hamu qualify. na kma ni ndugu zangu wa islam siwezi kuwalaumu kwasbb hawajuwi kilicho kwenye bible.
 
Anadai alienda Israel waziri mmoja wa Israel alimwambia akili yake ni nzuri sana akamshauri aje agombee urais lakini akamjibu kuna mtu anatoka cheo cha juu na kugombea cha chini? Anamaanisha Muingira anacheo cha juu zaidi ya rais.
Hiyo kauli nimewahi kuiona kwenye Runinga ya TRENET.
 
Ngoja niwaambie hata siku moja hamna haki ya kisheria yakuhukumu watumishi wa bwana. naona wote nyie kama munajiita wa kristo basi mwajiita hv ila hamu qualify. na kma ni ndugu zangu wa islam siwezi kuwalaumu kwasbb hawajuwi kilicho kwenye bible.
Kwa hiyo ili u-qualify kuwa mkristo bora uwe unatukana watu washenzi au uwe unaunga mkono matusi?

Ungekuwa una hoja nzito ungelipinga hilo lililoletwa hapa kwa ushahidi.
 
 
Umezoea makanisa yanayokiita kijiko eti ni kikombe. Watumishi wengi wa Mungu ni waoga linapokuja suala la kusema ukweli. Sijawahi kusikia mtumishi wa Mungu yeyote anayewaambia ukweli na kwa uwazi bila woga viongozi wa nchi hii kwamba ni mafisadi (washenzi) zaidi ya Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira. J.E. Mwingira ni jasiri, bravo baba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…