Mwinyi Jr anaweza kuweka rekodi ya kuwa Mmoja ya Marais wachache wenye akili kutawala Afrika Mashariki

Mwinyi Jr anaweza kuweka rekodi ya kuwa Mmoja ya Marais wachache wenye akili kutawala Afrika Mashariki

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Ametulia sana tofauti na wengine wengi. Anaonekana kujali sana maslahi ya Wazanzibar na yupo smart kupata anachotaka kwa ajili ya watu wake.

Siku tukipata Rais wa namna hii ambaye atatanguliza Tanzania mbele tutafika mbali sana.

Ingekuwa si Mzanzibar ningesema 2025 aje agombee huku lakini wasiwasi wangu jinsi anavyoipenda Zanzibar huku ndo tutaumia zaidi sababu mijitu iliyoko huku Bara ni mijinga haina Uzalendo na Tanganyika kabisa.
 
Bibi ushungi ni mtanganyika? akija huku mfumo utamsomba, kwa huu mfumo mbovu hata aje Obama hakuna muujiza atafanya, tatizo siyo watu tatizo ni mfumo ovu
 
ametulia sana. tofauti na wengine wengi. anaonekana kujali sana maslahi ya Wazanzibar na yupo smart kupata anachotaka kwa ajili ya watu wake. siku tukipata Rais wa namna hii ambaye atatanguliza Tanzania mbele tutafika mbali sana. ingekuwa si Mzanzibar ningesema 2025 aje agombee huku. lakini wasiwasi wangu jinsi anavyoipenda Zanzibar huku ndo tutaumia zaidi sababu mijitu iliyoko huku Bara ni Mijinga haina Uzalendo na Tanganyika kabisa.
He is needed more than we thought. He has got ability to take us forward
 
Kuna maswali machache ya kujibu hapa;

1. KK ya chama chao inaweza kuja na mpango wa kuwabadilisha hawa?

2. Hilo wazo la kuwabadilisha litapelekwa na nani?

3. Huyo atakayelipeleka wakati akijua mwenyekiti wake anaiota 2025 atakuwa anajipenda kweli, hasa akikumbuka kilichompata Ndugai?
 
ametulia sana. tofauti na wengine wengi. anaonekana kujali sana maslahi ya Wazanzibar na yupo smart kupata anachotaka kwa ajili ya watu wake. siku tukipata Rais wa namna hii ambaye atatanguliza Tanzania mbele tutafika mbali sana. ingekuwa si Mzanzibar ningesema 2025 aje agombee huku. lakini wasiwasi wangu jinsi anavyoipenda Zanzibar huku ndo tutaumia zaidi sababu mijitu iliyoko huku Bara ni Mijinga haina Uzalendo na Tanganyika kabisa.
Huyo ndio Rais wa Tanzania 2025 huyu Mwingine huku ni wa mpito tu. Anaebisha tukutane 2025
 
Screenshot_2022_0510_110940.jpg

Itapendeza akiwa Rais wa JMT anafaa na ana vigezo flani nimeviona.


Kwanza ana utendaji wa kukuza uchumi, hana unafiki na anajali sana.

Dr. Mwinyi anaikimbiza Zanzibar binafsi anafaa kuwa Prezidaa wa JMT.
 
Back
Top Bottom