Pre GE2025 Mwinyi kugombea Urais wa JMT mwaka 2025 makamu wake kuwa Dkt. Titus Mlengeya Kamani

Pre GE2025 Mwinyi kugombea Urais wa JMT mwaka 2025 makamu wake kuwa Dkt. Titus Mlengeya Kamani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Uraisi na uwaziri nchi hii yanaenda kuwa mambo ya kifamilia sasa. Anyway waache wafu wazikane
 
Samia ameshachoka kuongoza nchi, kwa sasa nchi inajiendea tu kama vile haina kiongozi wa serikali, mawaziri wanashindana kujitengenezea utajiri jwa kutupiga kwenye miradi feki mbalimbali wanayobuni na hayupo wa kuwaadhibu.

- Nina wasiwasi na hiyo nafasi ya VP kama haitakwenda kwa mwanamke safari hii, maana siku hizi wanajidai wameamka sana.

Calibre ya mtu kama Mwinyi utaona kabisa hawahitaji chawa, kwa uwepo wake chawa wote watapotea automatically, uwepo wa chawa unachangiwa zaidi na uvivu wa kiongozi husika kwenye kutekeleza majukumu yake, hivyo anawaachia wajinga wamjibie badala yeye ndie atoe majibu, matokeo yake mambo ndio yanazidi kwenda hovyo.
Mmmmmm, amechoka nini? Mbona mimi naona mama wa watu anajitahidi kuendesha nchi vizuri. Mimi nashauri tumuunge mkono rahisi wetu na pia tumtie moyo. Pia tutamnue kuwa yeye naye ni mwanadamu, hivyo tuache maneno ya kukatisha tamaa kama haha. Mama ameichukua nchi kwenye Hali ngumu sana na ametuvusha. Binafsi siambiwi wala kusikia chochote kile juu ya rais Samia. Nitamuunga mkono Kwa asilimia mia. Mitano tena Kwa rais Samia.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Ni Habari njema watanzania ni kikao cha wajuvi wa mambo kilikaaa sirini toka Magufuli afariki Dunia ikawa kwamba Samia ni nahodha tu anyeivusha meli upande wa pili wa pili baada ya Nahodha mkubwa kutangulia mbele za haki

Isingewezekana Samia kuendelea kuwa Rais wa JMT Kwa sababu yeye ni miongoni mwa wanaodhaniwa kuwa kwenye kundi linalobeba watu fulani hivyo basi akiendelea kutawala Kuna mgawanyiko mkubwa Sana utatokea kwenye chama na nchi ambao utakuja kukipasua chama na nchi vipande vipande

kwa nini Mwinyi?
Mwinyi aliandaliwa mapema sna kulingna na kariba yake ya kutokuwa na kundi kwa sababu yeye ni mtu makini anayetenda haki na anaaminika Sana na ni mtulivu wa kiwango cha Hali ya juu hivyo basi Rais mwinyi atakuwa kiunganishi mkubwa wa nchi, chama na serikali.
Hakuna mtanganyika mwenye uwezo wa kuwa Rais hadi kuhangaika na wazanzibar?
 
Ni Habari njema watanzania ni kikao cha wajuvi wa mambo kilikaaa sirini toka Magufuli afariki Dunia ikawa kwamba Samia ni nahodha tu anyeivusha meli upande wa pili wa pili baada ya Nahodha mkubwa kutangulia mbele za haki

Isingewezekana Samia kuendelea kuwa Rais wa JMT Kwa sababu yeye ni miongoni mwa wanaodhaniwa kuwa kwenye kundi linalobeba watu fulani hivyo basi akiendelea kutawala Kuna mgawanyiko mkubwa Sana utatokea kwenye chama na nchi ambao utakuja kukipasua chama na nchi vipande vipande

kwa nini Mwinyi?
Mwinyi aliandaliwa mapema sna kulingna na kariba yake ya kutokuwa na kundi kwa sababu yeye ni mtu makini anayetenda haki na anaaminika Sana na ni mtulivu wa kiwango cha Hali ya juu hivyo basi Rais mwinyi atakuwa kiunganishi mkubwa wa nchi, chama na serikali.
Nchi haiwezi kuongozwa na dini moja na wote kutoka zanzibar mfululizo
 
Ni Habari njema watanzania ni kikao cha wajuvi wa mambo kilikaaa sirini toka Magufuli afariki Dunia ikawa kwamba Samia ni nahodha tu anyeivusha meli upande wa pili wa pili baada ya Nahodha mkubwa kutangulia mbele za haki

Isingewezekana Samia kuendelea kuwa Rais wa JMT Kwa sababu yeye ni miongoni mwa wanaodhaniwa kuwa kwenye kundi linalobeba watu fulani hivyo basi akiendelea kutawala Kuna mgawanyiko mkubwa Sana utatokea kwenye chama na nchi ambao utakuja kukipasua chama na nchi vipande vipande

kwa nini Mwinyi?
Mwinyi aliandaliwa mapema sna kulingna na kariba yake ya kutokuwa na kundi kwa sababu yeye ni mtu makini anayetenda haki na anaaminika Sana na ni mtulivu wa kiwango cha Hali ya juu hivyo basi Rais mwinyi atakuwa kiunganishi mkubwa wa nchi, chama na serikali.
Imekwisha wekwa wazi fomu ni moja tu!
 
Ni Habari njema watanzania ni kikao cha wajuvi wa mambo kilikaaa sirini toka Magufuli afariki Dunia ikawa kwamba Samia ni nahodha tu anyeivusha meli upande wa pili wa pili baada ya Nahodha mkubwa kutangulia mbele za haki

Isingewezekana Samia kuendelea kuwa Rais wa JMT Kwa sababu yeye ni miongoni mwa wanaodhaniwa kuwa kwenye kundi linalobeba watu fulani hivyo basi akiendelea kutawala Kuna mgawanyiko mkubwa Sana utatokea kwenye chama na nchi ambao utakuja kukipasua chama na nchi vipande vipande

kwa nini Mwinyi?
Mwinyi aliandaliwa mapema sna kulingna na kariba yake ya kutokuwa na kundi kwa sababu yeye ni mtu makini anayetenda haki na anaaminika Sana na ni mtulivu wa kiwango cha Hali ya juu hivyo basi Rais mwinyi atakuwa kiunganishi mkubwa wa nchi, chama na serikali.
Ukikua utaacha upumbavu, tunakusamehe kwa vile ni utoto tu
 
Watanzania tunataka Rais mwenye uwezo wa kuikwamua nchi yetu kiuchumi. Rais mwenye uwezo wa kama au zaidi ya Rais Mkapa atatufaa sana. Mwinyi hana uwezo huo.... Na hatutaki urais wa familia
Watu hawamjui Hussein Mwinyi vizuri. Haiba yake inaficha mengi. Yule ni mfanyabiashara tu halafu ni dikteta wa kimya kimya.
 
Form itachapwa wapi? Maana mchapaji kaambiwa ni moja tu na ikishafyatuliwa mashine inafungiwa stoo
 
Habari njema watanzania ni kikao cha wajuvi wa mambo kilikaaa sirini toka Magufuli afariki Dunia ikawa kwamba Samia ni nahodha tu anyeivusha meli upande wa pili wa pili baada ya Nahodha mkubwa kutangulia mbele za haki
Mgawanyiko gani? Kwamba CCM huwa inataka viongozi waadilifu? Ili iweje? Washindwe kuiba? Kama hujui CCM ndio haswa wanamtaka samia maana kwa haiba yake ndio wanaweza kuiba wanavyojisikia.
 
Nakumbuka kuna kambi moja ya jeshi chupuchupu kuhamishwa kupisha uwekezaji enzi za waziri.wa ulinzi

Alipoingia mabeyo na jiwe mpango ule ukazimwa.akawa amechelewa. Huyo mwamba anaubepari fulani.hata huko alipo wamuangalie lasivyo ataondoka na nusu ya kisiwa kimojawapo.
 
Ni Habari njema watanzania ni kikao cha wajuvi wa mambo kilikaaa sirini toka Magufuli afariki Dunia ikawa kwamba Samia ni nahodha tu anyeivusha meli upande wa pili wa pili baada ya Nahodha mkubwa kutangulia mbele za haki

Isingewezekana Samia kuendelea kuwa Rais wa JMT Kwa sababu yeye ni miongoni mwa wanaodhaniwa kuwa kwenye kundi linalobeba watu fulani hivyo basi akiendelea kutawala Kuna mgawanyiko mkubwa Sana utatokea kwenye chama na nchi ambao utakuja kukipasua chama na nchi vipande vipande

kwa nini Mwinyi?
Mwinyi aliandaliwa mapema sna kulingna na kariba yake ya kutokuwa na kundi kwa sababu yeye ni mtu makini anayetenda haki na anaaminika Sana na ni mtulivu wa kiwango cha Hali ya juu hivyo basi Rais mwinyi atakuwa kiunganishi mkubwa wa nchi, chama na serikali.
ok tumekusikia !
Ngoja Tusubiri tuone !
Lakini atayaweza yale yanayokwapua pesa za Umma kila kukicha ??!

CAG anayaibua kila mara lakini bado yanadunda tu na mengine yanaibuka !

Je ataweza kuzibadili sheria na sheria mama zinazowalinda ??!
 
Mtanange utakua mkali sana badamu batamwagika, bibi kizimkazi akiona nyuzi kama hzi anashikwa na tumbo la kuha
 
Back
Top Bottom