Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
- Thread starter
- #21
Free Mwinyi Mkuu Mohammed
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mzee mbona Ni mtu wa kitengoWait a minute, yaani machinga ana hati ya kusafiria ?? ( Passport)?? kuna harufu ya jambo hapa.
Mtwara na nchi za jirani kama NNE au tano ni karibu sana... Tafakari...Machinga ana hati ya kusafiria..! I wish ningeishika hiyo hati niangalie mihuri... Then ndio tutajua machinga kweli au lah na ana la kueleza au lah..
Tunacho fail? Kwamba na mimi nimo? Ahahah mkuu hapo unanionea... Lakini pia tukirudi kwenye mada, kuna vitu vingine hivi vyombo haviwezi kuingiliana kwa sababu za kiusalama zaidi..Inshu hapo sio kuwa na passport, au huwa ana kwenda wapi, mnacho fail, ni kitu kidogo tu, njia za ukamataji, kwani ukiwatuma polisi wakaenda mchana tu, na kumkamata, na taratibu nyingine zikafuata, kuna tatizo? Kwani serikali zote huko nyuma hakukuwa na watu kama hawa?lakini approach haikuwa hii!! Ilani njia moja ya serikali zile zinazotisha wananchi!! Halafu unasikia viongozi wa dini wanatoa mapambio ya kusifia tu ili mambo yao yanyooke tu!! Bora yeriko nyerere anayeabudu mizimu ya mababu.
Itakuwa ndio kwanza Leo una sikia hili saga...Amechukuliwa usiku wa manane na watu waliojitambulisha kwamba ni askari ambao walikataa kutoa vitambulisho, sasa kwa nini wanafamilia walisubiri siku nne? Kwanini hawakuanza kufuatilia usiku huo huo? Siku hizi kuna simu za mkononi Je, walianza hizo pilika pilika na kuuliza?
Post ya Zito inaonyesha kwamba TISS wanahusika, Je, anao ushahidi?
Hii post ya pili inayoshangaa machinga kuwa na passWait a minute, yaani machinga ana hati ya kusafiria ?? ( Passport)?? kuna harufu ya jambo hapa.
Machinga hana uwezo wa kunua? Hastahili kununua Mali anayo taka na kuimiliki? Je ndg zake hawa ruhusiwi kumsaidia? Kumnunulia ? Kumjengea? Ukiwa machinga hutakiwi kufanya maendeleo?Mmachinga mmoja anayeonekana kwenye MKOKO hapo juu, amenyang'anywa vitambulisho vyake vyote ikiwamo HATI YAKE ya Kusafiria.
Za Arusha mkuuHii post ya pili inayoshangaa machinga kuwa na pass
Kwani passport ni bei gani na wewe unamchukuliaje mtu anayemiliki pass
Sizani kama kuna watu 20 walio chinjwa... Zitto ana jarbu kusema kama ni mhalifu utaratbu ufatwe, na wengine wana sema itafikia hatua tutashindwa kutofautisha kati ya majambazi na maafisa wa usalama au poolisiJuzi wamechinjwa watu 20 kama kuku hatukuona MY TAKE kwenda zako
Kwani ni nani katekwa?
Wewe una ndg wakulima na upo marekani, hawa ndg wana takiwa wawe na kitu gani ili waje kukuona huko ulipo, au kukusalimia,Wait a minute, yaani machinga ana hati ya kusafiria ?? ( Passport)?? kuna harufu ya jambo hapa.
Wewe na ushamba wako unadhani kumiliki pass ya kusafiria ni anasa. na kama alienda hijja?Mmachinga anamiliki hati ya kusafiria? Anafanya biashara za mpakani au!! Mfano Mtwara kwenda Msumbiji!!!
Serikali ina shughulikia hilo swala ndio maana kila RAIA ana amani, huku pia tukifatilia kupata taarifa ya yanayo jili... Tuna ndg wapo msumbiji mtwara nk...Walipouawa watu 6 huko ntwara sijasikia mkikemea..
Wewe na ushamba wako unadhani kumiliki pass ya kusafiria ni anasa. na kama alienda hijja?
Kwani asiwe nayo je, hapaswi kuwa nayo?Wait a minute, yaani machinga ana hati ya kusafiria ?? ( Passport)?? kuna harufu ya jambo hapa.