Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 12,000
Serikali ina njia zake za kushughulika na watuhumiwa wa aina hiyo,hata ukienda USASizani kama kuna watu 20 walio chinjwa... Zitto ana jarbu kusema kama ni mhalifu utaratbu ufatwe, na wengine wana sema itafikia hatua tutashindwa kutofautisha kati ya majambazi na maafisa wa usalama au poolisi
Amechukuliwa usiku wa manane na watu waliojitambulisha kwamba ni askari ambao walikataa kutoa vitambulisho, sasa kwa nini wanafamilia walisubiri siku nne? Kwanini hawakuanza kufuatilia usiku huo huo? Siku hizi kuna simu za mkononi Je, walianza hizo pilika pilika na kuuliza?
Post ya Zito inaonyesha kwamba TISS wanahusika, Je, anao ushahidi?
Sawa la msingi hili.Machinga ana hati ya kusafiria..! I wish ningeishika hiyo hati niangalie mihuri... Then ndio tutajua machinga kweli au lah na ana la kueleza au lah..
Itaamsha hasira ya wananchi, hii ya kimya kimya ndo poaInshu hapo sio kuwa na passport, au huwa ana kwenda wapi, mnacho fail, ni kitu kidogo tu, njia za ukamataji, kwani ukiwatuma polisi wakaenda mchana tu, na kumkamata, na taratibu nyingine zikafuata, kuna tatizo? Kwani serikali zote huko nyuma hakukuwa na watu kama hawa?lakini approach haikuwa hii!! Ilani njia moja ya serikali zile zinazotisha wananchi!! Halafu unasikia viongozi wa dini wanatoa mapambio ya kusifia tu ili mambo yao yanyooke tu!! Bora yeriko nyerere anayeabudu mizimu ya mababu.
unaweza kukuta alikuwa anakwenda Msumbiji kufanya Umachinga wake. Au aliwahi kupata ufadhili kwenda Macca....(najitahidi tu kufikiria)Machinga ana hati ya kusafiria..! I wish ningeishika hiyo hati niangalie mihuri... Then ndio tutajua machinga kweli au lah na ana la kueleza au lah..
Unaweza kuwa umetema shudu au VICE VERSA. Imagine kama TISS wanaweza kumchukua mtu kimya kimya vipi kama Afisa wa TISS akiwa na ugomvi binafsi na wewe??? Vipi kama Majambazi nao wakajidai TISS na kuja kukuteka huku wananchi wote wakiamini kuwa ni TISS?? Vipi kama TISS wenyewe wakiwa majambazi??Itaamsha hasira ya wananchi, hii ya kimya kimya ndo poa
Tanzania kuna ugaidi gani?Gaidi hukamatwa kigaidi mkuu! Hata Wamarekani mnaowasifu kwa demokrasi magaidi waliwakamata na kuwapeleka Quantanamol mkuu!
Omba mungu yasikutokee kwenye familia yako!!Itaamsha hasira ya wananchi, hii ya kimya kimya ndo poa
Ni sawa lakini kwa sasa nchini kwetu hata ukichukua demu tu wa afande/mwanasiasa unapotezwa kama gaidi?!! Haiwezekani, kwani ukisharuhusu hili jua kuwa kuna watu wengi watapotezwa tu bila kosa, mfano siku hizi kusikia majambazi sita wameuawa kwenye mapambano na askari, ni sifa kwa jeshi!!! Ni baada ya kupata baraka toka juu!! Unadhania ni wangapi wanauawa tu kwa mambo mengi, tena askari wetu hawa?!!Gaidi hukamatwa kigaidi mkuu! Hata Wamarekani mnaowasifu kwa demokrasi magaidi waliwakamata na kuwapeleka Quantanamol mkuu!
Sio ajabu... Ni akili ya kawaida tu mzee... Wamachinga tunawajua hali zao na tunajua maisha yao sasa kukuta mmachinga ana pass ya 150k pesa ambayo angeweza kuiingiza kwenye biashara akaongeza mtaji pia jiulize kama hiyo pass iko active hizo nauli anatoa wapi kwa hali ya mmchinga? Ndio maana nikasema cha kuangalia kwanza ni kitimu gani... Nichukulie vyovyote Mkuu... Afu ukisema walewale unamaanisha nn sijui MkuuKuwa pasi ni ajabu?
Comments zako zimekutambulisha wewe ni wa aina gani.
Kumbuka sote ni wa Tanzania regardless kila mtu ana imani yake. TANZANIA KWANZA.
Kama ana husika na ugaidi sisi Wananchi hatuna namna alipe kwa matendo yake
Thats why nikasema ikaguliwe mihuri kwanza... Lakini kwa wakazi wa Mipakani mara nyingi wanakuwa na zile za dharura... Sasa sijajua anayo ipiunaweza kukuta alikuwa anakwenda Msumbiji kufanya Umachinga wake. Au aliwahi kupata ufadhili kwenda Macca....(najitahidi tu kufikiria)
Hiyi ndio Point.. Lakini watu humu hawashirikishi bongo zao wanakuja kulaumu tuSawa la msingi hili.
Waovu wengi hujificha kwenye migongo ya watu wema. Ukute ana mfungamano na magaidi.