KIDUDU
JF-Expert Member
- Sep 17, 2012
- 2,557
- 1,927
Mtaijua kweli, nayo kweli itawaweka huruHii stori dhumuni kumtisha mukulu au [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaijua kweli, nayo kweli itawaweka huruHii stori dhumuni kumtisha mukulu au [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Hahahaaa. Afadhali angekuwa huko angekuwa shujaa kuliko kuomba mtaani. Anadhalilika ujueLakini at least hayuko nyuma ya vyuma
Mtaijua kweli, nayo kweli itawaweka huruNaona kama kunamtu anasemwa hapa....
Ujumbe utakuwa umefika..
Sijamtisha yeyote, Historia huwa ni mwalimu mzuri sana. The time will tellkijana unamtisha nani.?
umeona eeHuo ndio uanaume!! Sio eti mtu anafukuzwa tu kazi anaamua kujiua!!! Kana kwamba ndio mwisho wa maisha!! Huyu jamaa hata kia fya yuko vizuri kwani kwa maisha hayo magonjwa kama BP, na wenzake wale kama kiharusi wasingemuacha kamwe!! HONGERA KAMANDA
Kweli kabisa kamanda, ngoja nisaini hapa na mimiSijamtisha yeyote, Historia huwa ni mwalimu mzuri sana. The time will tell
karibu mkuuTunashuku sana Mkuu kwa kuweka hii kitu. Wengi humu hatujawahi kuiona na tusingeiona bila wewe
the ends will justfy the meansKweli kabisa kamanda, ngoja nisaini hapa na mimi
hayo ni mawazo yako mkuuHii stori dhumuni kumtisha mukulu au [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Only God knows! Let's wait and seethe ends will justfy the means
Angekuwa mfungwa mwenye hadhi sio hivi aiseeLakini at least hayuko nyuma ya vyuma
Wakati mwingine tumia akili basi......inakuwaje unaquote post ndefu kiasi hiki???.....[emoji16] [emoji16]Mkuu asante kwa kututoa tongo tongo. Kwakweli kwa kupitia hyo jamaa tuna mengi ya kujifunza kama binadamu.
Mh, kama kuna baya lolote hapo basi nisamehe mimi.Wakati mwingine tumia akili basi......inakuwaje unaquote post ndefu kiasi hiki???.....[emoji16] [emoji16]
Unaboa
Source ya habari ni FacebookNazidi kuipenda Jf