Mwisho wa Diamond umekaribia, ilikuwa lazima aanguke

vigezo vya nani bora kwa duniani ni nani kauza zaidi ya mwenzake sio nani kazomewa /kashangiliwa zaidi ya mwenzake sasa kati ya hawa nani kauza zaidi ya mwingine? ? maana unaweza ukazomea/kushangilia lakini nyimbo zao hununui kama msanii unampenda utanunua kazi zake leo almasi ana t shirt kibao zinavaliwa huyo mwingine zake sizioni so acheni kelele tuambiane ukweli nani anauza zaidi??? nani bidhaa zake zinanuliwa kwa wingi (mfano t shirt) nani ana tuzo nyingi? ??(za ndani na injection) hivi ndo vigezo zingine zote ni kelele tu
 
Na kesho ndio anachukua tuzo channel o
 

Mawazo yako hayo...ila unatakiwa ujue huyo diamond si chizi ma baba wengi wasiojielewa wana tabia hizo za kutelekeza watoto na kuwaachia kina mama mzigo wote....sasa kwann asimthamin mama ake aliemlea kwa shida? leo huyo baba ake ndo anajitilisha huruma inahusu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…