Mwisho wa DUNIA ni kesho tarehe 23-09-2017

Kwaio kam haijatrend africa ni nn knakuwasha ww? Acha ulimbukeni mkuu, ya africa yatabaki kua ya africa tofaut n kwngine.... Pengine cc tupo jupiter, unaonaje iyo? Thus fata yanayokuhusu
 
Tar.23 Septemba ishafika,mbona huo mwisho wa dunia hauonekani?
 
Hakuna kitu hapo!Mungu akipenda tutaamka tu asubuhi. Siku ya mwisho hasa haitabiriki. Hakuna anayeijua, 2thesa 5:1-7; Math 24:1-14, Mdo 1:6-8
 
Mkuu niko holiday Nadi Fiji
Ni tarehe 23-09-2017. Saa mbili asubuhi.
Jua tamu, hali ya hewa tulivu kabisa.
Ndio kwa kupotea huko? Duh tumevuka wote leo Tarehe 23 2017 Mwisho wa Dunia ni Bahati ilioje!
 
Hahaha mkuu mbona siuoni huo mwisho wa duni coz nilli kua na usubiria nikiwa bar..
 
Tayari ni 23 September, mbona hamna hata dalili yoyote!?

Ukiendelea vivyo hivyo wewe mleta mada utapotea mchana kweupe.

Acha kukariri vitabu vya wazungu. Wanatafuta hela hao wenzako.

Akiweka tangazo kama hilo , kwenye blog yake anapata viewers wengi wanaosoma taarifa na kuona matangazo kwenye blog yake mwisho wa siku analipwa sawasawa na viewers walioperuzi mtandao, blog au social media pages zake.

Endelea vivyo hivyo ufe maskini.
 
Hivi nyinyi watu kila kitu wazungu wazungu sijui upupu gani msiiiiew ......
Hivi unadhani hii dunia imeletwa na mzungu???? Acheni kutuzingua wewe na wazungu wako.....kesho sio mwisho wa dunia wala upupu gani ila kwako kama unataka iwe mwisho unaweza kutangulia tu tutakutana huko huko kwa sir god ...........[HASHTAG]#hakuna[/HASHTAG] mwisho wa dunia wa kizungu#
 
Daah taarifa hizi zimesababisha moyo wangu upige 144 beats per minute..mkuu usitutishe bhana
 
Daah taarifa hizi zimesababisha moyo wangu upige 144 beats per minute..mkuu usitutishe bhana
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] nahisi mleta mada ni katika hawa wadogo zetu waliomaliza mitihani ya std 7
 
Leo saa ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…