Quavohucho
JF-Expert Member
- Aug 30, 2020
- 798
- 2,028
Hii si iliisha 2019 huko! Mbaka leo bado mnalia tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Breaking Bad and not even close.By the way which series is best btn GOT vs B. Bad?
Sure. Nilitokea kuizarau sana GOT sijui ni kwasababu niliangalia iliyotafsiriwa na kina marphy dj?Breaking Bad and not even close.
When we talk about filmmaking BrBad is miles better but GOT has the hype.
you surely missed the bright spot of it buddy.Sure. Nilitokea kuizarau sana GOT sijui ni kwasababu niliangalia iliyotafsiriwa na kina marphy dj?
Aliyeandika story kashindwa kuimaliza,walioandika hivyo uwezo wao ndio umeishia hapo.Kwa wale ambao you've been watching this show I don't know why the end broke my heart so bad
inshort nimejisikia vibaya sana🥺😭
why the show had to end like that, why lakini🥺🥺🥺🥺🥺
Ukikomaa ukafika season 6 basi utarudi mwenyewe kuanza mwanzo na hapo ndio addiction itakujaGame of thrones Sija bahatika kuielewa labda kwakuwa nimekua nikiiiangalia nusu nusu
John Snow alikosa quality ya king and queens wa wakati wake hakuwa na tabia ya kuteka na kutawalaKila mtu alilalamika ila mwandishi wa vitabu yeye alikuwa hajakamilisha story so wao waliona waimalize hivyo. Pia kuanzia nadhani season 7 walibadilisha mwandishi aliharakisha kumharibu daenarys walau angempeleka taratibu hadi kufikia wazimu. Sema wazimu uko katika familia yao au umesahau the mad king.
Mwisho kabisa John snow ningependa angepata kuwa king lakini mwisho kakosa.
GoT iko mbali kiasi kwa B.bad ingawa zote nzuri ila GOT ni level sana ogopa tamthiliya iliyombamba hadi queen Elizabeth Kila ukiangalia upya unagundua kitu kipyaBy the way which series is best btn GOT vs B. Bad?
Walikua wanamuita ImpHivi hii kuna yule jamaa pimbi anapenda ngono kinoma?
Nimeziangalia zote tena kwa utulivu aisee GoT ni level sana Wala sio hype vile ndio tawala zilivyotengenezwa ukiachilia Yale ma dragonBreaking Bad and not even close.
When we talk about filmmaking BrBad is miles better but GOT has the hype.
Labda ngono lkn tafuta zenye quality nzuri mfaano 1080p au 2160p hutaona hilo giza.Niliiacha mwanzoni tuu...ile wheather ya usiku usiku sijui mvua mvua sijui giza umande viliniboa..na ina kufanya fanya matusi mnoo...
Msaliti sio?? Unafikiri Dayneris angemuacha Jon hai ikiwa tayari anajua he is true heir to the throne we hukusikia Dany alivyosema kwa Dothrak na unsullied kuwa ushindi wa kuiangusha Kingslanding haujaishia hapo bali utaendelea Westeros yote mpaka Winterfel jamaa akajua hapo sasa anaendwa nyooshwa kina Sansa akamuwahi.wametukosea sana , jon snow ingependeza if angemuoa dragon mother instead of killing her like that, inshort jamaa ni msaliti like why he even told his siblings kitu ambacho amepromise kua he will not say?
Adapted screenplay sio jambo la kushangaza, BrBad is an original screenplay, its way more impressiveNimeziangalia zote tena kwa utulivu aisee GoT ni level sana Wala sio hype vile ndio tawala zilivyotengenezwa ukiachilia Yale ma dragon