Mwisho wa Museveni kutawala Uganda umefika

Mwisho wa Museveni kutawala Uganda umefika

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Ni dhahiri kuwa mwisho wa Museveni kutawala Uganda umefika. Hii ni baada ya Museveni kuingia kwenye mgogoro mkali sana na Marekani kuhusiana na sakata la LGBTQ.

Ukweli ni kuwa unapokuwa rais wa Afrika na ukawa na mgogoro na Marekani lazima wakung'oe madarakani ili wenye Demokrasia watawale.

Mgogoro wa Museveni na Marekani utamuondoa madarakani kwa njia yoyote kama Gaddaf au Saadam Hussein.

Rais wa Afrika hana uwezo wa kupambana na mabeberu kwao anaonekana kama dagaa halingani na mabeberu ambao ni nyangumi hata theluthi moja. Hivyo basi Shirika la Haki za Binadamu linaweza kumshughulikia ipasavyo.

Onyo alilopewa na Shirika la haki za binadamu amekiuka kwahiyo ategemee malipo ya kiburi chake kama walivyolipwa watukutu wenzake waliokuwa na kiburi ikiwemo Gaddaf, Saadam Hussein, Idd Amin na Msukuma
 
Mmarekan ameshayumba hatma ya kuueneza up upuuz had ashnde vta zd ya mrusi
Ukiwa raisi wa Afrika lazima umwogope Mmarekani lasivyo utakiona cha mtemakuni
 
Siungi mkono ushoga! Lakini kama ataondoka mamlakani ni sawa kwa msimamo wake!,, Pia itakuwa wamebadili mfumo wa utawala wa Uganda! Imagine mi nimezaliwa, hadi Leo nimezaa huyu mzee anaitawala Uganda!
Umefika mwisho wake huwezi kubishana na Marekani ukabaki salama
 
Ndio ataondoka ila kwa msimamo wa vizazi vya uganda na usijidanganye marekani ataleta vita na machafuko uganda kilicho muondoa late ceo ndio kitakacho muondoa museveni tukiwa wa moja na misimamo Africa hawawez kuondoa marais zaid ya 50 wanaowapinga Zaid wata pandikiza puppet maisha yaende
 
Ndio ataondoka ila kwa msimamo wa vizazi vya uganda na usijidanganye marekani ataleta vita na machafuko uganda kilicho muondoa late ceo ndio kitakacho muondoa museveni tukiwa wa moja na misimamo Africa hawawez kuondoa marais zaid ya 50 wanaowapinga Zaid wata pandikiza puppet maisha yaende
Marekani wana akili kubwa sana ya kufanya jambo. Sio kila raisi watamuondoa kwa vita. Afrika sisi mbele ya mabeberu ni sawa na kuku
 
Marekani haiwez hangaika na mseven , Uganda haina chochote cha kumfanya Marekani anuse pua tofaut na huku bongo ...
 
Ni dhahiri kuwa mwisho wa Museveni kutawala Uganda umefika. Hii ni baada ya Museveni kuingia kwenye mgogoro mkali sana na Marekani kuhusiana na sakata la LGBTQ.

Ukweli ni kuwa unapokuwa raisi wa Afrika na ukawa na mgogoro na Marekani lazima wakung'oe madarakani kwa nguvu ili wenye Demokrasia watawale.

Mgogoro wa Museveni na Marekani utamuondoa madarakani kama Gaddaf au Saadam Hussein.

Raisi wa Afrika hana uwezo wa kupambana na mabeberu kwao anaonekana kama takataka halingani na mabeberu hata theluthi moja. Museveni kwenye macho ya mabeberu ni sawa na kuku hivyo basi atachapwa kama mtoto.
USA hana maslai pale sana sana ata mwaangalia tu
 
Museveni, he means well. Lakini mtu akiwa choko, ni kama ugonjwa, kwa anahitaji treatment, siyo punishment.

Na Wamarekani hawawezi kugombana naye kwa sababu hii moja tu. Wakifanya hivyo watajiaibisha.
Yaani haya mambo yanahitaji tranquility in dealing with them. In your mine it must be clear that the problem is serious, lakini huwezi kuchomoa kisu mfukoni kila mara mtu anapokugusa.
 
Ni dhahiri kuwa mwisho wa Museveni kutawala Uganda umefika. Hii ni baada ya Museveni kuingia kwenye mgogoro mkali sana na Marekani kuhusiana na sakata la LGBTQ.

Ukweli ni kuwa unapokuwa raisi wa Afrika na ukawa na mgogoro na Marekani lazima wakung'oe madarakani kwa nguvu ili wenye Demokrasia watawale.

Mgogoro wa Museveni na Marekani utamuondoa madarakani kama Gaddaf au Saadam Hussein.

Raisi wa Afrika hana uwezo wa kupambana na mabeberu kwao anaonekana kama takataka halingani na mabeberu hata theluthi moja. Museveni kwenye macho ya mabeberu ni sawa na kuku hivyo basi atachapwa kama mtoto.
Onyo alilopewa na Shirika la haki za binadamu amekiuka kwahiyo ategemee malipo ya kiburi chake kama walivyokuwa watangulizi wake Gaddaf, Saadam Hussein, Idd Amin na Msukuma
Sema kuingia kwenye mgogoro na na Chama cha Democratic siyo Marekani, wakiingia Republican mahusiano yanarudi kama kawa.
 
Kwani ukiwasikiliza marekani wanakupa tiketi ya kuishi milele? Sanasana watakupa vilainishi na pampas na utakufa tu.
Hata siku moja sisimizi hapambani na tembo anatafuta nini kama sio kukanyagwa
 
Baada ya hili bandiko ndio nimekusoma, kumbe shida yako sio Museveni au Marekani, ajenda ya ni tuukubali huo uchafu kisa ulikuwepo kitambo, sasa nasemaje!! Uganda wamekataa ushoga ikikuuma kalilie chooni.
Kwa sasa Uganda hata fununu za ushoga zinakutia matatani, mnapaswa mpigwe sana nyie watu, huo ujinga wenu msiulazimishe.
 
Take it from me Museven anajua kuwatuliza mabeberu.
Kwanza ataingia CONGO DR kuchota Coltan, dhahabu na Shaba kisha atawapa kwa bei mfololo.
Pili atadraft mkataba wa kununua silaha za mmarekani au kwa rafiki wa mmarekani.
Amekuwa anafanya ivo siku zote ndo maana amekalia kiti bila woga mpaka kesho.
Akitoka mwanae KAINERUGABA MUHOZI anaendelea.
 
Baada ya hili bandiko ndio nimekusoma, kumbe shida yako sio Museveni au Marekani, ajenda ya ni tuukubali huo uchafu kisa ulikuwepo kitambo, sasa nasemaje!! Uganda wamekataa ushoga ikikuuma kalilie chooni.
Kwa sasa Uganda hata fununu za ushoga zinakutia matatani, mnapaswa mpigwe sana nyie watu, huo ujinga wenu msiulazimishe.
Point yangu sio ushoga bali ni kiburi cha Museven anapopewa onyo na mabeberu. Tangu lini chura akapigana na simba? Umeona wapi? Raisi wa Afrika kiburi cha kupambana na Mabeberu unakipata wapi kama hutakuwa mjinga?
 
Back
Top Bottom