Mwisho wa Museveni kutawala Uganda umefika

N
Museveni hawezi kupibduliwa na mashoga
Waganda walio wengi hawataki huo ujinga

Mtu yeyote Uganda akionyesha tu kuwa anaunga mkono ushoga wananchi walio wengi watamuua mtaani wala hawatasubiri mahakama
Imeipenda hii.
Nchi ya kusini mwa Uganda nao wakitumia hii itapendeza sana.
 
Ina maana upinde ni marufuku uganda? Waganda walizidi mno kujionesha mpaka wakawa wanapeperusha ile bendera ya upinde. Bongo sijawahi kuona watu wa upinde wakipeperusha bendera yao hadharani. Hivi wakinyanduana kwa siri kuna mtu atajua ili kuripoti wakamatwe? Bongo iwe na hekima na busara za kupambana na upinde wasikurupuke kuiga uganda
 
Piga safar Fungu Tango weekend hii
 
Kwaiyo kwa upande wako Uko tayari ufirwe ili mradi TU utolewe kwny umaskini?[emoji848]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ukiwa raisi wa Afrika lazima umwogope Mmarekani lasivyo utakiona cha mtemakuni
Mmekariri madesa ya miaka ya stone age...... Kwa sasa mmarekani atawatisha vibaraka wake tu
 
Kuna vitu vinachekesha......
Bunge la Uganda lililochaguliwa na waganda limetunga Sheria kwa ajili ya Waganda ( nadhani hii ndio demokrasia), lakini anayeumia ni USA na vibaraka wake.
Ha ha ha....afu USA uyo uyo anaejifanya kinara wa demokrasia duniani[emoji4]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Binafsi sikuwa nimemuelewa mtoa mada na lengo la huu uzi wake, ila sasa nimemuelewa, na mimi nasemaje huo upunga wao kamwe hauwezi fanikiwa.
 
Acheni nidhamu ya uoga. Sisi Afrika tunafanya mambo yetu bila kumuingilia Mmarekani maisha yake ndani ya nchi yake.

Naye atuache tufanye yetu kulingana na jamii zetu za Kiafrika kama vile ambvyo sisi hatumbughudhi yeye na siasa za nchini mwake.

Na hiyo African Union ijitathmini upya, isikubali Afrika tupigwe mikwara mbuzi na kudharaulika. Kama vipi ifanye mchakato wa kumiliki hata nuclear weapon kadhaa ili heshima iwepo duniani kwa Afrika.

Mwisho kabisa wa Afrika tujifunze kujitegemea kwa kila kitu ili tusiwe watu wakupelekeshwa.
 
Kwa hiyo upo tayari kuwa shoga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…