Mwisho wa Museveni kutawala Uganda umefika

Hapa mimi sidhani kama Mu7 anapambana na mmarekani ila nadhani mmarekani ndiye anayepambana na waganda. Sheria imetungwa kwa kujadiliwa bungeni na kupigiwa kura za ndio. There is no infingment of democracy.
 
Utakuwa shoga wewe sio bure
Ni Bora kubaki kuwa maskini kuliko kukubali ushoga
Wabongo mnapenda kufirana mkija hadharani mnajifanya hampendi. Unafiki ndio maisha yenu. Wewe ni mfiraji mzuri nani asiyekujua
 
Ila hao waganda mbona wanamchekea Chamileon na mdogo wake?
 
Unazunguka sana, sema tu unachukizwa na Museveni kupinga USHOGA, inaonekana nawew ndo walewale😷
 
Unazunguka sana, sema tu unachukizwa na Museveni kupinga USHOGA, inaonekana nawew ndo walewale😷
Waganda wapo tayari kutoa Tigo mchawi mu7
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…