Gwivax Da Material
Member
- Aug 11, 2015
- 28
- 35
Utakuwa shoga wewe sio bureUmefika mwisho wake huwezi kubishana na Marekani ukabaki salama
Kwa akili yako shoga ana akili kumzidi mu7Ukiwa raisi wa Afrika lazima umwogope Mmarekani lasivyo utakiona cha mtemakuni
Ila hao waganda mbona wanamchekea Chamileon na mdogo wake?Baada ya hili bandiko ndio nimekusoma, kumbe shida yako sio Museveni au Marekani, ajenda ya ni tuukubali huo uchafu kisa ulikuwepo kitambo, sasa nasemaje!! Uganda wamekataa ushoga ikikuuma kalilie chooni.
Kwa sasa Uganda hata fununu za ushoga zinakutia matatani, mnapaswa mpigwe sana nyie watu, huo ujinga wenu msiulazimishe.