Merchante
JF-Expert Member
- May 9, 2017
- 1,365
- 2,842
I appreciate [emoji109]Thank you my Merchante[emoji7]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I appreciate [emoji109]Thank you my Merchante[emoji7]
Nakupendaga pia mamii hunaga fujo yani umepoaa, merry xmas sweetheartAmehlo Kapeace Leejay49 Joanah Ms eyes Myangu Tresor Mandala Tayukwa Uncle Fujo National Anthem Mzee wa kupambania Bujibuji Simba Nyamaume mshamba_hachekwi raraa reree Elli ...na wengine niliowasahau kidogo.May God bless you all
Bila shaka mimi nitakua katika kundi la hao uliowasahau.Amehlo Kapeace Leejay49 Joanah Ms eyes Myangu Tresor Mandala Tayukwa Uncle Fujo National Anthem Mzee wa kupambania Bujibuji Simba Nyamaume mshamba_hachekwi raraa reree Elli ...na wengine niliowasahau kidogo.May God bless you all
😯oooh jamani...am sorry....afu the ice mpo wawili ...umebadili avatar?Bila shaka mimi nitakua katika kundi la hao uliowasahau.
Inabidi nizoee avatar mpyaBila shaka mimi nitakua katika kundi la hao uliowasahau.
😂😂😂ukipata kitulizo nawe tulia....wish you too my love.Nakupendaga pia mamii hunaga fujo yani umepoaa, merry xmas sweetheart
Kuna mpuuzi mmoja ameiga ID yangu,kaweka space tu ili isiwe detected na system.😯oooh jamani...am sorry....afu the ice mpo wawili ...umebadili avatar?
😂😂😂😂pole lakini it works🙏Kuna mpuuzi mmoja ameiga ID yangu,kaweka space tu ili isiwe detected na system.
Mkuu samahani kwa kuuliza na kuweka wazi... nimekufananisha kutokana na jina lako, je! Wewe ni Jonas Ilole?Shunie respect sana
Waambie hao uliowataja hapo kwamba uchaguzi ujao wamchukue dotto magari wazunguke nae nchi nzima kwa ajili ya kampeni... anajituma sana kuitetea na kuisifia Nchi, Rais na utawala wake, chama tawala na kigumu kuganduka cha CCM na watu wake yule kijana 😂🙌🏾Nawakubali sana wafuatao;
1. MamaSamia2025
2. Lucas mwashambwa
3. Erythrocyte
4. FaizaFoxy
5. Magonjwa Mtambuka
6. Mbaga Jr
7. Etwege
Dotto lazima ale shavu uchaguzi ujao. Naona hata yeye kashausoma mchezo.Waambie hao uliowataja hapo kwamba uchaguzi ujao wamchukue dotto magari wazunguke nae nchi nzima kwa ajili ya kampeni... anajituma sana kuitetea na kuisifia Nchi, Rais na utawala wake, chama tawala na kigumu kuganduka cha CCM na watu wake yule kijana 😂🙌🏾
Habari hii binafsi imenifurahisha.Dotto lazima ale shavu uchaguzi ujao. Naona hata yeye kashausoma mchezo.
Tupo wengi mbona mkuu... We admire you!
Nilikujibu kweli?😄
Asante kaka Amadi kwa kunifarijiTupo wengi mbona mkuu... We admire you!
mbona kama na mimi nimelisahau jamani....Lile jina ulilonipa nimelisahau😶