Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Hakuna aliyetekwa na m23 ni vita visivyo na faida kwa washirika ndio maana majeshi ya SADC wameamua kujiondoa. Rais wa Kongo mwenyewe ndio kafeli. JWTZ wakitangaza kesho wanatakq kukomboa maeneo yaliyoshikwa na m23 ni siku tatu tu watakimbia tena Uganda na Rwanda.
 
Shida Tanzania wanajiona kwa history za Nyerere, ila sasa hivi nchi sio yile yile na majirani wamejianda vizuli zaid ya tanzania
Hakuna lolote sehemu ya jeshi iliokwenda DRC ni sawa na tone la maji kwenye bahari, ukanda huu wa Africa Mashariki Tanzania tuko vizuri na stable sana
 
Hii fedheha kubwa sana hii!!

Endapo kama Watawala wa nchi wangekuwa wanasikia maoni yetu sisi Wananchi Basi fedheha hii wala isingetukumba kamwe.
Ona sasa mambo jinsi yalivyoharibika!!
Yaani ni aibu kubwa sana hii!!
Fedheha ni ya DRC sio SADC, wao ni waalikwa tu pale Congo
 
Ukiwaangalia wanavyofanya maonyesho kuwafurahisha wajinga wa CCM ili kuwatisha Watanzania wasio na hatia alafu ukiangalia hapo wanavyodharilishwa na hao askari wa Kagame unajisemea tu moyoni kuwa Jeshi letu linatakiwa kupata Viongozi wanaojitambua sio cowards wa wanasiasa.

tanzagiza ndiyo nchi pekee ambayo wanajeshi wanazurura mitaani na kupiga raia ambao wameapa kuwalinda, kwa kifupi hawajui hata kazi yao ni ipi ktk jamii ije kuwa kupelekwa vitani kushindana na well trained disciplined army ?

suluhisho la matatizo na umaskini uliopindukia tanzagiza ni meritrocracy, basi, jeshi wafanye iq testing kabla ya kuajiri na siyo sijui michaka michaka na kutesana bila ya sababu, wafanyiwe both Intelligence testing na cognitive testing wanaopata above average ndiyo wachukuliwe na kuanza kupewa mafunzo ya kijeshi, vinginevyo hamna kitu hapo, wataishi ubabe barabarani na fujo dhidi ya trafiki na raia basi lkn huko kwa wanaume ni wachumba tu …
 
Ukiwaangalia wanavyofanya maonyesho kuwafurahisha wajinga wa CCM ili kuwatisha Watanzania wasio na hatia alafu ukiangalia hapo wanavyodharilishwa na hao askari wa Kagame unajisemea tu moyoni kuwa Jeshi letu linatakiwa kupata Viongozi wanaojitambua sio cowards wa wanasiasa.
Wazee mbona mnaongea sana vitu msivyovijua? Vita ya Congo sio yetu, ni vita kati ya jeshi la Congo na waasi wa M23. Sadc wamepeleka troops kulinda amani na askari wetu wapo. UN wamepeleka troops kulinda amani na askari wetu wapo. Hizo troops zote zinafuata maelekezo ya SADC na UN hao ndio wenye mwamvuli. Na ukisikia kulinda amani sio kuleta Amani au kutengeneza Amani, kulinda Amani ni kulinda hiyo amani ndogo iliyopo hapo.
 
Kisingizio cha bongo ni eti wamefungwa mkono kuishambulia M23.

Sasa kama hamruhusiwi kuishambulia M23 mmeenda Kongo kufanya nini?, Kutalii?
Sasa kama jeshi la DRC lina kimbia hawa wageni wafanye nini? Huwezi kusaidia nchi ambayo wenyewe hawaoni umuhimu wa jambo
 
tanzagiza ndiyo nchi pekee ambayo wanajeshi wanazurura mitaani na kupiga raia ambao wameapa kuwalinda, kwa kifupi hawajui hata kazi yao ni ipi ktk jamii ije kuwa kupelekwa vitani kushindana na well trained disciplined army ?

suluhisho la matatizo na umaskini uliopindukia tanzagiza ni meritrocracy, basi, jeshi wafanye iq testing kabla ya kuajiri na siyo sijui michaka michaka na kutesana bila ya sababu, wafanyiwe both Intelligence testing na cognitive testing wanaopata above average ndiyo wachukuliwe na kuanza kupewa mafunzo ya kijeshi, vinginevyo hamna kitu hapo ….
Natabiri kwamba una akaunti mtandao wa X, zamani tweeter. Ndio akili zenu hizi.
 
Natabiri kwamba una akaunti mtandao wa X, zamani tweeter. Ndio akili zenu hizi.

nimeona picha zimewekwa zimepostiwa hapa jf kama wengine, nimekomenti, shida iko wapi? au kukomenti nako unataka unikataze? dunia imeshabadilika, sana tu …
 
Tuwe tunaenda kwenye mission za kulinda AMANI, sio kwenda kupigana kwenye foreign wars, jeshi letu liianzishwa kwa ajili ya kulinda mipaka yetu.
 
Anaonekana au linaonekana, Mbona huna shaka na jeshi la malawi au Afrika kusini maana wote walikua pamoja.
.Mimi najua kinachowafanya kushindwa.
.Ni masharti wanayowekea kuhusu kutumia kutumia kama walinda Amani.
.Hebu fikilia Tanzania dhaifu,jeshi la afrika kusini, halina ndege vita ya kuweza kuploon safura na ngome za M23, Unachotakiwa kujua Vita ya Congo DRC, haitakiwi kuisha, wapo mpaka wa Congo wanaomba vita isiishe.
.Congo kuna vunwa kwanza kukitulia hawezi vuna, sasa wewe na Nchi yako jidanganye eti jeshi la Tanzania ni dhaifu, hata muwe na jeshi zuri Humuwezi shinda vita Congo, wacongo ni wasaliti wakubwa, leo anakuitikia kesho anakukana, leo anakukana kesho anakuitikia, Usijimalize kwa mkongo.
Walienda kupambana na M23 sio kukinda amani , rudia kwa video vizuli siku waliofika
 

Attachments

  • ssstwitter.com_1740907588253.mp4
    1.8 MB
Wazee mbona mnaongea sana vitu msivyovijua? Vita ya Congo sio yetu, ni vita kati ya jeshi la Congo na waasi wa M23. Sadc wamepeleka troops kulinda amani na askari wetu wapo. UN wamepeleka troops kulinda amani na askari wetu wapo. Hizo troops zote zinafuata maelekezo ya SADC na UN hao ndio wenye mwamvuli. Na ukisikia kulinda amani sio kuleta Amani au kutengeneza Amani, kulinda Amani ni kulinda hiyo amani ndogo iliyopo hapo.
Uongo, SMDRC NA UN Ni watu 2 tft, tafuta habari vizuli walienda kupigana na M23 wakimaliza watambia mwingine
 
Hakuna aliyetekwa na m23 ni vita visivyo na faida kwa washirika ndio maana majeshi ya SADC wameamua kujiondoa. Rais wa Kongo mwenyewe ndio kafeli. JWTZ wakitangaza kesho wanatakq kukomboa maeneo yaliyoshikwa na m23 ni siku tatu tu watakimbia tena Uganda na Rwanda.
Kwa kifupi jeshi letu liamke na kuacha kuwa makondoo wa CCM. Haya ndo matokeo ya Jeshi kuwa vibaraka wa wanasiasa wajinga.

Warudi kwenye miiko yao ya kusimamia nchi na wananchi under professionalism. Mkishazoea kutumwa na Wanasiasa kufanya usafi ili kutisha wananchi wasidai haki zao haya ndo matokeo yake. Mnaishiq kudharirishwa na nchi ambazo mlivifundisha vikosi vyake wakati fulani
 
Walishuka na silaha wanaondoka bila silaha. Wamenyang'anywa zote.

Kama sio aibu nini hiyo? Ndo wajifunze na wajitenge na hawa wajinga wa CCM.

Wakistick kwenye professional yao watakuwa na weredi wa kusoma situations za hatari na kujiandaa nazo.

We Jeshi letu linaamrishwa na hawa wajinga CCM kufanya mazoezi sijui kufanya usafi ili kuwatisha wananchi wanaotaka kuandamana kudai haki zinazochukuliwa na wajinga wa CCM alafu wanakubali tu kwa sababu wanalipwa posho na mishahara kwa nini wasiabishwe na vijana wadogo wa Rwanda namna hiyo?
Walienda kupambana na M23 sio kukinda amani , rudia kwa video vizuli siku waliofika
 
Back
Top Bottom